SIKU MOJA RAIS WA YEMEN ALIAMUA KUFANYA ZIARA YAKE BINAFSI KWENYE JANGWA, KATIKA PITA PITA ZAKE HUKO JANGWANI AKAMUONA JAMAA MOJA AKIWA ANAVUTA GANJA AKAANZA KUMOJI MASWALI= RAIS= HIVI HUOGOPI KUKAA MWENYEWE HAPA? MVUTA BANGI= SIOGOPI NDIO MI NAPENDA KUKAA MWENYEWE NK. RAISI= NA HIYO NI NINI...
Frequency describes the number of waves that pass a fixed place in a given amount of time. So if the time it takes for a wave to pass is is 1/2 second, the frequency is 2 per second. If it takes 1/100 of an hour, the frequency is 100 per hour.
Hali zenu wandugu. Nombeni msaad wa kupata memory card ya sony playstation vita (ps vita) maana arusha nimetafuta kila kona sijapata,kama kuna mtu anaefahamu anisadie iwe mkoani.
Hali zenu wandugu. Mimi nina tatizo. Tatizo langu ni kuhusu airtel internet kila nijaribu kuunganisha bundle 400b wakati nikitumia kwenye pc speed inakuwa ndogo sana hata kama ikiwa kwenye wcdma au 3g? Naombdni msaada wandugu
Here is solution for unlock ZTE AC2766
1.use cdma workshop and connect modem go to security tab put spc (000000) send spc
you see spc is correct phone unlocked
next go to others tab select ruim if avail and write you got 3 thing sucess
2.use this unlocker select com then write software ask for...
Hali zenu wandugu. Tatizo langu ni kuhusu iphone4 yangu, nilijaribu kupgrade OS mpya bila kufanya backup kwenye pc, kwa hyo imfuta vitu vyangu muhimu kama number, sms, picha, email nk. Je kunauwezekano wakurudisha hvyo vitu vilivyo futika? Msaada wenu tafadhali!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.