Habari za mchana kwema wana jf, twende kwenye mada.Siku hizi magari yamekuwa adimu sana watu hawataki kutuuzia magari yao ya namba D na sisi tuvimbe nayo mtaani.wakati sasa namba E uko inakimbia hatarii
Habarii za usiku wana Jf polen na majukumu.
Kijana nimejichanga sasa naitaji kiwanja cha million 1.5 na mm nianze mchakato wa kutoka ktk nyumba za kupanga asanten sana, kiwanja kiwe DSM.
Nawasilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.