Hivi hawa wanaorudi ccm pamoja na kuona utendaji mzuri wa mzee wanashindwa kubaki chama chao ili waendelee na mikakati yao,hawajui kuwa inawezekana kuwepo chama kingine tofauti na ccm ndio msukumo wa kufanya vizuri huyo mzee? ningewaomba ambao bado hawajahama walitambua hilo, tena kwa akili ya...
Alie towa taarifa za kwanza za kuzaliwa kwa raisi magufuli ali edit taarifa ya pili ya kuzaliwa kwa rais magufuli,au aliyetowa taarifa ya pili ya kuzaliwa rais magufuli ali edit taarfa ya kwanza.
Kuwa makini mtoa post, unafikili utaishi nchi anaishi mange kimambi kwa ujanja ujanja? unafikili kule wanaishi kama unavyofikilia, tofautisha mambele na bongo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.