Tusilazimishane kwamba eti kafanya mazuri tu oooh blabla, kila mmoja ana haki ya kuona katika angle yake, na sio dhambi ndo diversity ya ubinadamu.
Marehemu atabaki kwa historia kama rais aliyebinya demokrasia zaidi, rais alieiba kura kupindukia, rais aliyefunga kila aliyemkosoa, rais...
Marais wengi ikiwemo Rais wa Marekani ratiba zao za week nzima zipo on. Nenda katafute WhiteHouse utaona ratiba ya rais. Sasa huyu wa Tanzania eti haitoki kwa sababu za usalama, usalama gani?
Huo ni Ushamba wa Usalama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.