POLISI TANZANIA HAIMO KWENYE ORODHA YA MAJESHI YA POLISI 10 DUNIANI YANAYONUKA RUSHWA.
10 Most Corrupt Police Forces in The World
10. Pakistan Police
Pakistan’s police has been ranked among the most corrupt institutions in the country in a survey by an international anti-graft watchdog. Many...
MH. JOHN POMBE MAGUFULI, LEO NI SIKU YETU WA BABA.
Mh. Rais, pole sana kwa kazi ya kututumikia watanzania kama mfanya kazi namba 1, tambua haya ni mapenzi toka kwa Mungu, tambua siyo kwamba wewe ni zaidi ya watanzania wote zaidi ya milioni 50 ila ni kwa neema tu zake mwenyezi Mungu, kamwe...
MH. NDUGAI, TOKA LINI UMEKUWA RPC, KAMANDA SIRO AU AMIRI JESHI KUU?.
Kwanza nianze na kuwapa pole wale Askari wa bunge waliondolewa bungeni kwa kosa la kuchelewa kumkamata na kumtoa nje Mh. Mnyika pia pole zangu nyingi sana nimpelekee mh. Mkuu wa Jeshi la Polisi, kamanda Siro.. nakupa pole...
Mmoja wa Askari Polisi mwenye rank ya nyota moja aliyewawa na magaidi Mkoani Pwani leo amepumzishwa katika nyumba yake ya milele Mkoani Mara.
Nilichofurahia katika eneo la tukio ni kwa jinsi gani JWTZ walivyoshiriki kwa 100% kuwa karibu na POLISI katika kumzika mwenzao.
Kwa ufupi vilio...
Leo ndiyo wale askari polisi 8 waliowawa kule Pwani wameagwa pale police barracks
Askari wanane kufa kwa kupigwa risasi na watu ambao ni majambazi/magaidi ni msiba wa kitafa..
Hivi mh Rais uliona taabu gani kwenda kushirikiana na askari wako katika kuwaaga wale askari.
Mh Rais uzidunzi wa...
hii vita ni ngumu..yaani LOWASA na MBOWE/CDM kushibana mwaka mmoja sasa limekuwa bomu kubwa kuliko LOWASA aliposhibana na CCM miaka yote ya ujana na uzee wake
kwenye hii post wamekaa kimya..lakini ingekuwa post za kuwasifia au nani atamridhi mwamnyange au vyeo vya jeshi vikoje au wanajeshi wanapokea pesa nyingi au ujinga furani ungeona wanavyomiminika hapa na coments zao za kijinga..
ndiyo maana huwa nasema JWTZ ni wajinga kuliko jeshi lolote hapa...
Amiri Jeshi mkuu (RAIS) ndiye mwenye vyeo vyote jeshini! yeye ndiye anaamua nini cha kufanya. Katiba inampa mamlaka ya kumteua mtu yoyote yule kuwa CDF ndani ya Jeshi...haimwambii au kumwelekeza lazma huyu mtu awe na rank gani..ila kinachofanyika ni rais kutumia busara na kumteu mtu mwenye...
kusafirisha mzigo kwa meli hawaangalii uzito wa mzigo ila wanaangali ukubwa wa mzigo umechukua eneo la ukubwa kiasi gani ndani ya meli(Cubic Meter-CBM) na CBM 1 ni sawa na dollar 400 kwa meli..kumbuka mpka mzigo wako ufikishe CBM moja basi utakuwa ni mzigo uliochukua eneo kubwa sana..
kuna...
mkuu acha habari za mikwara! moja ya mbinu za vita ni postion uliyopo..mbali na hilo gambia hana ubavu wa kupigana hata na senegal achilie ECOWAS..gambia ina watu hawafiki mili 3...budget ya jeshi la senegal ni mara 20 ya ile ya gambia..
mkuu vita siyo maneno kama ingekuwa ni maneno id amin...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.