Mpendw, hiyo nayo pia haijakaa vizuri kwa mwanamke. kwahiyo ni mwanaume ndiye anatakiwa aishi kwa akili na mwanamke?
Which means mwanamke ni kiumbe flani usipokuwa makini nacho mambo yatakwenda mrama? au?
Hapo ndipo swali langu lilipojikita
Wapendwa, kuna msemo mmoja maarufu sana unasema hivi,
"...Mwanamke mpumbavu huvunja nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe..."
Hivi kwanini ni mwanake na sio mwanaume? kwani haiwezekani mwanaume mpumbavu akavunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe?
Ni mwendelezo wa kutomwamini na kumdharau...
Ni aibu nchi inaporomoka lakini wanaume wa nchi hii mpo tu mnalalamika kila kukicha bila kuchukua hatua.
Ni aibu viongozi wa nchi hii wanachuma mali na kujilimbikizia huku idadi kubwa ya watu ni masikini wa kutupwa lakini wanaume wa nchi hii mpo mpo tu.
Wananchi wengi wa Nchi hii tuna hali...
Mh! sikubaliani na Ndodi hata siku moja.
Hasa hilo la wowowo.
Mimi navaa sana suruali za jins za kubana I wish niiweke picha yangu hapa ili nim'prove wrong huyo dokta Ndodi.
Hata tusijidanganye, Pamoja na yote money ni kila kitu.
Binafsi mbali na vigezo vingine, mwanaume anaponitokea ni lazma pia niangalie na status yake kiuchumi.
Mapenzi bila pesa mh! is nothing.
Wapendwa kumbe mmejificha huku?
Nimewatafuta Jamvi zima.
Jamani moja ya vitu ambavyo vinaleta hasira kwa wanawake katika mahusiano ni kuchezewa na hatimaye mwanaume haonyeshi dalili ya kukuoa.
Alichofanya huyo dada ni mbinu yake ya mwisho ambayo mara nyingi hufanikiwa na ndio maana anapogundua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.