Naona umeanzisha uzi mpya wa maharage baada ya ule wa kwanza (jana)kudoda, sasa jitahidiuwe na majibu mazuri maana ule uzi wa kwanza "umeunyea" sana but hongera kwa kazi nzuri ila usitangaze biashara kwa debe,tangaza kwa package ya 100kgs au kwa kg mkuu!;
Maharage?labda hao dagaa wa Nyasa,yani Zambia,Botswana Zimbabwe wanalima sana maharage mkuu so sii rahisi kuyaagiza TZ otherwise kuna embargo kwenye nchi hizo ya kuexport beans..but try to get more information's before u go to the next step!!
Nimrodi Mkono na Mbirinyi babake Sugu waliibaga pesa BOT kisha wakachoma moto bank wakakimbilia Marekani miaka hiyo ya uhuru,jee wakitumia passport gani kwenda marekani?na Nyerere pia alifika Marekani miaka ya 1960 jee alitumia passport gani?ba jee,passport ya kuebdea Marekani na hiyo yako...
Mbona jamaa kakupa ushauri mzuri tu mkuu?maana huo mzigo ni mdogo kiukweli so kama ni bora ukawacheki akina mangi wa mtaani kwako kwanza ata kwa mali kauli!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.