Matokeo ya Uraisi ni kama ifuatavyo...
Lowasa kura mil 6 kwa muunganiko wa vyama 4 kwa wastani kila chama kura mil 1.5 amepata. Wakati Dr Slaa alipata kura mil 2 bila muunganiko
Those are nothing to me. Mr 2 kama kazuia tamasha atakuwa hana maana. Bifu lake na clouds is nothing to do with us... fiesta tutakwenda na hawezi. Tuache ushabiki wa vyama humu
Tatizo la SINA RAHA hana wanachama kule kisiwani na mikoa mingi ya pwani kwa kuendeleza ukatoliki wake. Halafu hao wote waliokusanyika ukiuliza vitambulisho vya kupiga kura utakuta robo tu ndiyo wenye navyo. Si ajabu hata sisi tunaopiga kelele kwenye jf wengi hamna vitambulisho vya kupiga kura
Naomba msaada kwa wanasheria. Nimezaa na binti ambaye hatukuweza kuoana kutoelewana kuhusu dini zetu. Aliwahi kunishauri tufunge ndoa ya serikali lakini kutokana na imani yangu hii ndoa haikubaliki. Niliendelea kutoa matunzo kwa huyo mwanamke tangu alipokuwa mjamzito hadi amejifungua. Baadae...
Labda kwa huku kwenu bara lakini sisi Zanzibar hajashinda na wala hayumo kwenye list ya hata wanaokaribia karibia. Hatuwezi kuongozwa na Silaha sisi. Halafu sijui hizo fikra mnazitoa wapi kwamba silaha alishinda?
Nauza Suzuki Escudo Nomade, Air Condition, Redio ya CD, Ya mwaka 1991, Imeingia nchini mwaka 2007 na ilikuwa ikitumika na Waziri mwenye dhamana huko zenj. Bei maelewano but not less than 7m. Mawasiliano0788712900
Nafikiri uwezo wako wa kufikiria umefika mwisho, ni vyema kutoa maoni yako yenye mtizamo hasi na si kukashifu. Uuungwana ni jambo la kheri kuliko kuropoka. Hapa ni mahali pa kujadiliana na si kutoa kashfa
Mimi nasema kuendelea kumlaumu JK si ufumbuzi wa matatizo? Maraisi wangapi wamepita na hali ni ile ile? Issue nyingi za ufisadi zilikuwa wakati wa Mkapa lakini watu wamenlinyamaza kimya. Maisha bora hayaji tu kwa kukaa kijiweni na kucheza bao, mnataka JK atawekee pesa mifukoni? Hebu fikiria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.