Search results

  1. N

    Im Just Curious.The School you attended has Nothing to do with your current career performance.

    Gajungi;Mkuu hapo una wazo zuri,lakini angalia mawazo yangu. In the course of your psychological development your background plays a great role(What do you mean?) The most important stages that might affect your career perfomance are childhood & adolescence .The environment shapes u in...
  2. N

    Im Just Curious.The School you attended has Nothing to do with your current career performance.

    To some employers, alumni can be something they will have an interest in. It may look as a stereotype(?) or something of that kind, people tend to expect something different from people who have gone thru a certain school/college with reputation of being good, so to speak. From your...
  3. N

    Im Just Curious.The School you attended has Nothing to do with your current career performance.

    I have seen so many posts where few members tried to convice the readers that their schools/Universities are better than of the others. On this post i would like to ask you guys... What role does the school you attended has played in your career performance? This can be in terms of salary...
  4. N

    Mzumbe University customer care ni zaidi ya vyuo vingine

    Senetor; Wale wale vilaza, Dogo acha matusi, vipanga huwa hawajisifii.Kuwa mstaarabu
  5. N

    Siku yako ya kwanza kucheat ulimtazamaje mwenzi wako?

    muhanga; let me tel u one thing, kwa sisi tuliokomaa akili nakuishi kwenye ndoa zetu muda mrefu, hata ukimfumania mke/mume wala hamuachani, ila mnawekana chini kuulizana tatizo ni nini hata mmoja katoka nje ya ndoa! ukiangalia mengi mliyofanya pamoja, furaha, magumu mliyopitia, pengine mna...
  6. N

    Mianaume ndo tulivyo......hovyoooo!

    sawabho; Sasa wewe umejuisha wanaume wote, ilihali wa kawako tu ndio anakufanyia hayo. Umesahua kuwa binadamu wanatofautiana kutoka mmoja kwenda mwingine. Wengine akili ya kuambiawa anachanganya na yake kuacha ushauri mbaya pale pale. Sio mianaume yote, mingine ina malezi mazuri, inajali...
  7. N

    Nimemnyang'anya 'beki tatu' simu, je nimekosea?

    Masikini_Jeuri; yaelekea limekugusa sana hili mkuu ndio eneo la mawindo yako nini.................. Wote mnaomsakama huyu mnatambua kuwa pamoja ni kuwa mfanayakazi lakini akishakuwa ndani ya nyumba anahesabiwa kama mtoto wa familia? hebu chukulia ni binti yako....................ungechukua...
  8. N

    Siku yako ya kwanza kucheat ulimtazamaje mwenzi wako?

    Kwakweli labda sijamuelewa, kuwa kuna mtu anaweza ku-cheat asikose sababu? Kila mtu anaona sababu yake ni ya muhimu ku-justify alichokifanya. Na kuwa ukishaanza huwezi kujutia ukaacha? Pia, ni vema kufanya kile moyo wako unakipenda regardless ni kibaya-''kujipa raha siyo'' na sikamatwi (uzembe)...
  9. N

    Siku yako ya kwanza kucheat ulimtazamaje mwenzi wako?

    muhanga; 'no what? changamoto mojawapo kubwa kwenye ndoa ni mawasiliano, wanandoa wengi hawana guts za kuambiana ukweli au kuwekana chini kujadili mambo yanayowahusu, matokeo yake mmoja akizidiwa nguvu anaanza tu kujifeel inferior, helpless as a result and create a kind of depresion! hali hiyo...
  10. N

    Mwenzenu nalia, naomba msaada!

    By Mpatanishi Pole sana, punguza mawazo. Na pia usichukue uamuz wa haraka. Tulia kwa muda muweke huyo mchumba mtegoni, mtege na umpime kama anaweza kubadilika. Ukiona anaweza endelea nae. Hata hvyo naweza kusema na ww pia una tatizo, why uchumba tu miaka minne? Umesema una kazi nzuri na yeye...
  11. N

    CCM wawatikisa CHADEMA Houston wajikuta wapo wawili tu mkutanoni

    Mikole007;Pigana kijana jenga chama chetu sisi tupo nyuma yenu. Mwaka huu tumewakamata pabaya wataisoma namba. Kwenye RED hapo ni wewe na nani? Kazi kwelikweli!
  12. N

    Siku yako ya kwanza kucheat ulimtazamaje mwenzi wako?

    MwanajamiiOne; Aksante Da Asia, hapo kwenye, Red: Its a WORD. Ninakubaliana na wewe asilimia mia kwa mia. A happy marriage ni wewe na mwenzio mnavyoamua iwe. UKWELI ULIO UCHI. Blue: NAkushukuru kwa kuliweka hili wazi. Samahani sina nia ya kukusema kwa sababu tayariu umeshajidefend hapo juu...
  13. N

    Siku yako ya kwanza kucheat ulimtazamaje mwenzi wako?

    Da Asia; Happy marriage ni nyie wenyewe wahusika wawili, ndoa yenu kua na furaha mnataka iwe vipi. kuna wengine kupeana simu ndio ndoa ya furaha, kuoneana wivu kusiko na kipimo ndio furaha ya ndoa, kesi zisizoisha lakini hamuachani ndio raha, mambo ni mengi, kwangu mimi happy marriage ni...
  14. N

    Vifaa vya umeme (Wiring materials)

    Mihayo; Wakuu nadhani tatizo lililopo ni sisi wajenzi kwa kuwa tuko busy basi huwa tunawaamini mafundi wakatunulie vifaa. Nakwambia mafundi wengi lazima atakuchakachua na hata ukiongozana nae atakuwa amekwisha kwenda kuongea na wenye maduka ili wale chao cha juu. Na mbaya zaidi wakati mwingine...
  15. N

    Vifaa vya umeme (Wiring materials)

    rmashauri; Asante mkuu kwa kontakti ina nina swali, products zenu mna import kutoka nchi gani? Mkuu naona una wasiwasi na vitu toka China, siyo? Mpaka kiandikwe made in England/UK, Germany, Italy, nk ndo angalau uwe na imani na ubora wake. Kuna vitu vingi sana vinatengenezwa China bado vipo...
  16. N

    Mpenzi wangu hataki jina nililompa mtotowangu wakiume

    MWAGONA; Jamani nisaidieni huyu mwana mke simuelewi sijui ndo usomi mimi na yeye wote tume graduate mwaka jana.mkewangu akiwa na mimba tulielewana kuwa akiwa mtoto wa kike jina amchagulie yeye na akiwa wakiume jina nitampatia mimi.tatizo likaja baada ya mtoto kuzaliwa akazaliwa mtoto wa kiume me...
  17. N

    Hivi kwa nini wanawake wa siku hizi hawafahamu kupika vyakula vizuri

    Rejao; AshaDii kaongea vizuri sana. Nakubaliana na suala la elimu limechangia sana. Ukitaka kupikiwa vizuri, tafuta mwanamke ambaye hajasoma, ambaye hafanyi kazi! Utaenjoy! But maisha ya siku hiz ya baba na mama wote wanahangaika..wanatoka usiku wanarudi usiku..huo muda wa huyo mwanamke...
  18. N

    Hivi Mzumbe University siku hizi mbona haivumi?

    Senetor Nakumbuka mwaka 2009 wakati ndo nimemalza 4m 6,mzumbe university walikua wanaringa kuchukua wanafunzi 2naotegemea Heslb na badala yake wakawa wanachukua wa2 wenye dv 3 wengi kwa kigezo cha kwamba wao ni private sponsered.kiukwel mwenyewe wakati niko secondary nlikua na ndoto za kusoma...
  19. N

    Apple founder Steve Jobs dies

    In life to succeed ''stay hungry, stay foolish''-Steve Jobs
  20. N

    Hongera JK kwa kututoa katika Umaskini duniani! ila bado ....

    Mkuu hayo ya Wabrazil kuja kutusaidia kwenye masuala ya umeme nyingi ni polojo tu, ukiritimba uliyojaa katika nchi yetu na rushwa umevisahau?. Alafu masuala ya kusema Per capita Income ya mtanzania imepanda kulinganisha na ile ya miaka ya 80s ni irrelevant katika maisha ya Mtanzania. Huoni $380...
Back
Top Bottom