Search results

  1. lizziebettie

    Siku ya Mashoto Duniani: Wana JF wenzangu tunaotumia mkono wa kushoto tukutane hapa

    Namba 3 ni kweli, mpaka mama ananiambiaga E una vistory vya uongo. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. lizziebettie

    Kufukuzia hadi kusafiria penzi

    Dar_geita Sent using Jamii Forums mobile app
  3. lizziebettie

    Mtumie dedication ya wimbo mpenzi wako wa zamani

    Making love out of nothing at all-Air supply Sent using Jamii Forums mobile app
  4. lizziebettie

    Lazima huwa unafanya moja ya vitu hivi unapohisi hakuna anaekuona!

    Inawezekana kweli! Ila mimi naona ni tatizo la kisaikolojia.
  5. lizziebettie

    Lazima huwa unafanya moja ya vitu hivi unapohisi hakuna anaekuona!

    Hahahaa yaani mpaka mtu unashindwa kushika vitu vizuri, kuoga au kufua. Hii hali ya kula kucha sijui inasababishwa na nini?
  6. lizziebettie

    Lazima huwa unafanya moja ya vitu hivi unapohisi hakuna anaekuona!

    Hahahaa hata mimi nilikuwa nakula zamani, siku hizi nimenenepa nashindwa kujikunja.
  7. lizziebettie

    Lazima huwa unafanya moja ya vitu hivi unapohisi hakuna anaekuona!

    Tupo wote! Mama yangu ananiambia nimeathirika kisaikolojia. Nakula mpaka napata vidonda sometimes!
  8. lizziebettie

    Lazima huwa unafanya moja ya vitu hivi unapohisi hakuna anaekuona!

    Mimi naliaga nikiwa chooni au wakati wa kuoga
  9. lizziebettie

    Tujikumbushe majina ya utani ya walimu wetu...

    Kishungi kwa sababu alikuwa mfupi sana.
  10. lizziebettie

    Ni mpenzi mwenye kituko gani uliwahi kumpata? Mimi nilimpata huyu

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  11. lizziebettie

    Sifa za wanawake/wadada wanene

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jamani
  12. lizziebettie

    Kigoma JF users connect

    Ndio hiyo hiyo
  13. lizziebettie

    Kigoma JF users connect

    Kabanga, Teacher's college
Back
Top Bottom