Habari Team
Poleni na majukumu, watoto wangu Wana Ugonjwa wa ngozi wanajikuna na kutokea vidonda na kuacha makovu meusi.
Nilifika hospital nikaambiwa na alegi waache kutumia ,mayai, nyama, maziwa na vitu vya sukari.
Niliacha kuwapa lakini bado watoto wanajikuna na kuacha makovu
Naombeni...
Habari Team
Hii ni wiki sasa, palianza kama uvimbe mdogo (kigololi) then pakawa panawasha sn.
Nilipataje?
Siku moja nilitoka shamba baada ya kumalizia shughuli za shamba gafla nikaanza kusikia huo muwasho mkononi na huo uvimbe kidogo, sasa sijui ni mdudu alinitambaa, panawasha sana
Msaada...
Habari
Kuna Siri gani kubwa imefichwa katika Kila Egyptian statues kutolewa Kwa pua? Ni Nani alizitoa?! Na Kwa sababu ipi? Pia kipi kinafichwa?. Ikumbukwe kuwa hizi statues zina historia kubwa duniani.
Habari wadau,
Natumaini mpo poa nimekutana na mtu anahitaji Msaada wa dawa au ushauri juu ya kubanduka kwa ngozi za mikono(viganja), hii ni wiki sasa je anaweza tumia nini hasa kimsaidie.
Asante
Habari wadau,
Nimelipata sehemu hili kuwa maji yanayotoka kwenye AC za maofisin na majumbani ni bora zaidi na yanasaidia kupoza vizuri injini ya gari vizuri zaidi.
Wajuzi mnijuze.
Asante.
Habari wadau,
Ninahitaji Fundi rangi mzuri, nimefanya research kati ya watu 8 katika 10 wanasema nipeleke gari Moshi au Arusha sababu wanajua vizuri kupiga rangi.
Je, ni kweli wanapatikana huko tu?
Habari wadau
Naipenda sn hii gari ni roho ya paka na ukiitunza bila kujali kupitwa kwake na wakati utakaa nayo sn na pesa za kutaka gari nyingine ukafanyia mambo mengine,
Sasa naambiwa ina matatizo6ya AC yan haifanyi kazi vizuri ndo mana wengi wenye gari hizi hapa Town huwa wanafungua vioo all...
Habari Wadau,
Pesa inahitaji kutunzwa.
Pesa inahitaji kufanya kazi iliyokusudiwa.
Pesa inahitaji iheshimiwe kwan ikitoka imetoka.
Huu ni mzani unaotutesa wengi kuubalance, tunatafuta pesa kwa jasho na damu tukiwa na malengo husika ila story Huwa tofauti ikishaiingia mkononi, mengi huja hasa...
Habari wadau,
Bus Za Saul zinazofanya safari yake Dar to Mbeya, zimezuiliwa zisitoke kituo cha mile moja kibaha na Sumatra wakidai kuwa BUS Za Saul zimewah kupita wakadai timetable walipopewa wakasema imekosewa watu walipohoji mbona Alsaedy halikamati na limefatana na Saul?, wakabadilisha topic...
Habari wadau
Kuna hali inanitokea na kunitia wasiwasi, kilianza kiuvimbe kidogo maeneo ya katikati ya kiuno na mbavu eneo la ubavuni, ukikishika ni kama gololi ipo ndani, hakiumi ila ukikiminya kinauma, but last week kimetokea kingine upande wa kushoto kinachofanana na hiko.
Je hii ni dalili...
habari wakuu
kama title inavyosema nataka nijuzwe zaidi ya nguvu ya mila hasa kwa wachaga, mfano huwa wanasema ukifanyiwa wakati ukiwa mdogo au ukiwa unashiriki na baadae kuacha huwa unapata wakati mgumu sn kimaisha na hutoweza kutoboa au ukitaka ivunjwe ni lazima ukoo mzima uridhie na kazi yake...
habari wadau
kama kawaida kutokana na ugumu wa ajira huwa tunajichanganya kitaa kutoa stree na kichungulia fursa zaidi, kuna mshikaj mmoja aliwahi kuwa anabeba mizigo ya watalii wanaopanda mlima kilimanjaro ktk moja ya camp
>so jamaa akatuambia kufika kileleni mara nyingi hata kama wakiwahi huwa...
habari wadau,
unakuta mtu ofisini alikuwa poa sn ukituma sms anajibu japo ana majukumu mengi, tatizo huanza pale anapopanda cheo na kuitwa Boss, sms hajibu na yupo online anasoma ila hana time ya kujibu sms yako, simu ndo usipige hapokei, labda huwa anajua unachotaka so hawapendi usumbufu, mbaya...
habari wandugu,
nafikiri now ni time ya hawa wanamasumbwi ambao wanafanya vzr, watoane jasho ulingoni, tujue nani ni nani maana wakina cheka ndo hvy washapotea,
mapromota tupieni jicho kwenye hili..naamini litakuwa pambano zuri sn
Sent using Jamii Forums mobile app
habari wadau me cjawahi kumiliki gari ila nafatilia sn magari, kuna hii aina ya Toyota vista, zipo chache sana barabarani ni gari nzuri yenye space, cc 1990, custom ndani, muonekano mzuri., ila kwann wengi wanazikwepa?, au upatikanaji wa spare ni mgumu...
Sent using Jamii Forums mobile app
habari wadau ninahitaji pikpik aina hii ya Honda, ikiwa kuna mahali umeziona zinauzwa, tafadhali naomba nijuze.
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.