Mambo yanazidi kua matamu huku asfc,kinachosubiriwa ni mechi za ijumaa na jumamosi.
Nb-endapo makolo yatapita basi tutawaomba sana azam watuachie my wetu,na nyie madunduka mjiakaze msitolewe mapema tuna jambo la msingi sana na nyie
Mpira unakosewa heshima sana siku hizi, hii aibu kwa nchi yetu haiwezi kuvumilika tena, mamlaka zinapaswa kutoa onyo zaidi ya hili la kumfungia mtu mechi 3.
Kwanini wasimtumie hata Babra kwenda kuwanga mchana ule jamani, hivi kweli mchezaji anashiriki hii tena jua kali?
Walivyofanya ulozi kule...
Habari zenu watu wa mpira?
Hii mechi ya Oct. 23 mbona kuna katimu kanatetemeka sana, shida nini? Woga huu unaletwa na nini? Hii wiki kumeanzishwa nyuzi nyingi (karibu 50) za utabiri na ulozi, yaani eti watu wanaoteshwa kabisa kuwa wanashinda hadi goli 5 kwenye hii mechi.
Labda tuulizane tu...
Naandika kwa masikitiko sana.
Watu wakiwa wanajiuliza kulikoni fire wameshindwa kudhibiti moto uliunguza nyumba nzima na kuua mtoto wa miaka 5.
Kabla hatujapoa leo nyumba nyingine imeteketea yote bila msaada kutoka kwa hawa tunaowaita uokoaji,hii ni mara ya pili kutokea ndani ya miezi kadhaa...
Za weekend wana jf? naomba niingie kwenye lengo la uzi moja kwa moja...
Iko ivi kuna mwanamke ni jirani yangu na ni mke wa mtu,ni mama wa mtoto mmoja anaenyonya,sasa katika mishemishe za ndoa akajikuta anapata mimba akiwa bado na kichanga katika kushauriana na mwenzake ikabidi wakubaliane kua...
Salaam,wana jukwaa kuna jambo linaendelea huku mkoa wa Tanga,ningependa kushare nanyi pengine kuna wanaofahamu kuhusu jambo hili, iko hivi kuna watu wanashirikiana na Nmb kuzunguka mkoa mzima wakijinadi kua ni watoaji mikopo,mikopo hiyo yenye sharti la kua na kitambulisho cha kura tu,kumezuka...
Wewe ni miongoni mwa vijana nnaowaanini sana, kama hujui mi ni miongoni mwa watu waliokuchora na kukubandika maeneo mbalimbali ya nchi wakati wa kampeni. Nilitokea kukukubali sana kwa misimamo na uwezo wako wa kujenga hoja.
Nakumbuka kati ya watu waliopigania maslahi ya wafanyakazi we ni mmoja...
Salaam zikufikie popote ulipo.
Niende moja kwa moja kwenye point,kupitia wizara yako ulitoa waraka kwa watumishi kuhamishwa(ikama) kwa walimu katika kila halmashauri na ukasisitiza mambo haya yafanyike haraka na kwa ufanisi.
Cha kusikitisha mpka leo hii kuna baadhi ya walimu hawakupewa hata...
Habari wana jamvi!iko hivi takribani wiki mbili zimepita toka wakurugenzi wa halmashauri za tanga kufanya kazi ya kuhamisha watumishi wa kada ya ualimu kutoka mijini kupelekwa vijijini,ishu ya ikama,sasa kuna baadhi ya wakurugenzi ambao ndio wamepewa jukumu hili wanaanza kucheza michezo ya...
Kwa kweli kila nikisema ninyamaze roho inakataa,nimeona nisikae na kitu kikaniuma,imeniuma sana,imenisikitisha sana,hakika yanga wanastahili adhabu kali sana,watu gani hawana huruma nabinadam wenzao?roho mbaya hii wameitoa wapi?wameanza lini kula vitu kwa pupa?kwa lile gharika la jana ambalo...
Wakubwa mko poa?
Leo jamaa kaingiza fedha ila cha kusikitisha hakuna badiliko lolote kwenye salary, inauma sana, sikuamini kama mwaka utakatika bila ya kupewa haki yetu ya kikatiba.
Ila poa wacha tuisome ili akili zitukae sawasawa kwa 2020, happy 2017.
naomba kujua sababu za kanisa kuruhusu wanaume kuoana. Tumeona mengi sana yakifanyika kwa kificho, tunajua kuna mashoga wengi lakini wako kwa kificho sababu wanajua ni uchafu na ni kero kwa jamii,
Lakini kwa kanisa kuruhusu hili limenipa shida sana kichwani tena wanaenda mbali zaidi kwa...
Wacha nikuambie kitu ewe mwenye jumba jeupe,hivi unajua kuna kundi kubwa la wanyonge wanaomba usiku na mchana?unajua wanachoomba?ok sasa usijifanye kushangaa kuona nchi inaenda kama imebwia konyagi ujue dua zao zishaanza kufanyiwa kazi,haya yote yanayotokea sasa ujue watu wameamua kumuachia...
Naomba kujuzwa nisijepata dhambi kwa kumfikiria mtu vibaya ni bora kuuliza,huyu bwana ni msemaji wa timu ya simba nimekua nikifuatilia sana mahojiano yake na vyombo vya habari katika vipindi vya michezo,si kwenye tv wala redio huyu jamaa akihojiwa anatokwa povu la haja,yaani hata mtangazaji...
Wakuu habari za mida hii,kama mtiakumbuka kuna wakati nilileta lalamiko kuhusu huyu wife kuninyima papuchi wakati mimba ikiwa changa,sasa bora hilo,sa ivi ananisimbua sana,kwanza hataki kukaa na mimi karibu,na kwa vile muda wa kujifungua umekaribia aliniambia anataka akajifungulie kwao...
Wakuu msichoke kuwajibika katika kujadili masuala sensitive kwa taifa letu,mimi kama mwananchi wa kawaida naomba tupatiwe nafasi ya kujadiliana juu ya hiki chama ambacho wengi wameingizwa bila ridha zao lakini pia wengine wamejiunga bila kujua terms na manufaa ya CWT,
Jambo lingine ni kujadili...
Rais Magufuli kwanza nikupe pole, pia nikupe pongezi kwa hatua uliyoamua ya kuwathamini wafanyabiashara kwa kumtembelea Bakhresa,ni hatua nzuri mzee. Hao wenye mijihela wakipumua na sisi wanyonge ndio tunapata nafuu.
Ngoja nikueleze jambo kidogo, kuna mfanyakazi wako huku Tanga ni jipu kubwa...
Mamlaka ya michezo Tanzania inapenda kuwatahadharisha wakazi wa maeneo ya bunju na msimbazi wajiandae kukabiliana na maafa yanayotarajiwa kutokea hapo kesho yatakayosababishwa na kimbunga cha YANGA,tukiwa kama serikali tunaomba wananchi wote kwa jumla kuandaa rambirambi na misaada kadhaa ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.