Wakuu,
Nimekuwa na changamoto ya kupiga chafya na kuwa na mafua makali kila asubuhi. Nimetumia dawa zote za mafua lakini hazitibu bali zinapoza tu tatizo.
Naomba kujuzwa chanzo cha mzio huo na namna ninavyoweza kupona tatizo hilo.
Natanguliza shukrani.
WASEMAVYO WANAFASIHI:
"...Kusema haya na haya, duniani kuna vilima na mabonde; kuna kupanda na kushuka; kuna mashaka na raha. Yote hayo hayaendelei, likawa moja tu hilohilo kila siku.
Unapanda kilima kwa mashaka,taabu,kuchoka na jasho kukutoka. Lakini kilima kina mwisho wake; haiwi kuwa...
Kwa muda mrefu,pamekuwa na jitihada na mashinikizo kutoka kwa vyama vya siasa,asasi za kiraia na wananchi wenye mapenzi mema na taifa lao la Tanzania.Harakati zote hii zimechochewa na jinsi katiba iliyopo ilivyo na walakini na dosari anuwai,ambazo wengi wanaona ni bora tuwe na katiba inayoendana...
Nilidhani serikali hii itakuwa smart kwenye kushughulika na Gwajima (Mchungaji) lakini kitendo cha waziri wa afya kuagiza mchungaji huyo akamatwe badala ya kujibu hoja zake kinaendelea kuthibitisha kuwa tuko kwenye mwendelezo wa utawala usiokubali mawazo na hoja mbadala.Serikali ilipaswa itambue...
Kitendo cha Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza ndugu Anthony Diallo kuamua kukisema vibaya chama na viongozi wake ni kitendo kibaya kwa maadili na ustawi wa chama.
Watu wa aina hii wanafanya hivi wakidhani wewe utalinda maslahi yao na kuwa upande wao. Ukweli ni kuwa watu hawa katika utawala...
Nyuma ya mafanikio ya watu unaowafahamu, kuna maumivu, msoto na kudharauliwa kwa kila namna.
Usichoke kupambania mafanikio hata kama unakutana na hali ya kukatisha tamaa.
Jifunze kwa Jack Ma, tajiri namba moja nchini China ambaye baada ya kumaliza masomo yake alituma maombi ya kazi mara 32...
Nianze kwa kunukuu usemi wa wahenga usemao "Mjusi ukimkimbiza sana hugeuka na kuwa nyoka". Maana huru ya usemi huu ni kuwa mtu hata akiwa mwema au mpole kiasi gani,ukimchokoza sana anaweza kubadilika na kuwa mbaya sana.
Niseme wazi kuwa kwa sasa Tanzania inahitaji katiba mpya kuliko katika...
UKIACHA WABUNGE,KUNDI JINGINE LINALOILA KEKI[emoji3057][emoji506] YA TAIFA KISAWASAWA NI HILI HAPA...
Wasalaam,
Nawasalimu kwa Jina la JMT...
# Kazi na Iendelee
Ndugu zangu WaTanzania,wakati Mchezo wa Mpira wa miguu ukiendelea, Makosa makubwa yanaonwa na mashabiki/watizamaji walio nje,na syo...
Nimemsikiliza kwa makini Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Mheshimiwa Freeman Aikael Mbowe.Hotuba yake ya leo (pamoja na nyingine alizowahi kutoa kabla) inaonesha dhahiri kuwa huyu kiongozi ana hekima na busara ya kiwango cha juu.Viongozi wa Serikali wa sasa,akiwemo Mheshimiwa Rais Samia...
Wameibuka vijana wachanga wa siasa,ambao wamekuwa wakiombea taifa lao liwekewe vikwazo.Hawajui kuwa athari kubwa watapata wao kwani watawala hawana cha kupoteza pale misaada izuiwapo.Hizi ni siasa za kijinga sana.Kama huna ajira au maisha ni magumu,hutapata ahueni yoyote pindi mabeberu wazuiapo...
Naomba niwasilishe dukuduku langu, huenda wahusika wakanisikia.
Ni mwaka wa pili sasa walimu wa shule binafsi mkoani Mwanza wamekuwa wakienguliwa kwenye zoezi nyeti la usimamizi wa mitihani ya kidato cha nne.
Sababu inayotolewa na wenye maamuzi ni kuwa uamuzi huo ni kuepusha vitendo vya...
Limeibuka kundi la watu wasiyoijua misingi ya demokrasia ipasavyo ambalo linadhani demokrasia ni kuzungumza pasipo na mipaka.Watu hawa wanadhani wakitumia lugha za matusi kukosoa ndipo wataeleweka au kujizolea umaarufu wa kisiasa.
Hiyo siyo demokrasia.Demokrasia ni uhuru wa kutoa mawazo pasipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.