Habar wanajf,
Nina Mdogo wangu amemaliza form four mwaka jana huko mkoani na akapata division 3 ya 25
Dogo akapangiwa ualimu lakini yeye ndoto yake ni kusoma mambo ya afya so ualimu akagoma kwenda now kaja Dar.
Je kwa ufaulu huu wa civ D Hist D Geo D Kisw C Eng C Phy F Chem D Bio C Math F...
Heshima mwenu wakuu,
Story ipo hivi kuna dada mmoja tunaishi nae nyumba mmoja kaolewa kwa ndoa kabisa na wana mtoto wa kike wa miaka miwili.
Huyu dada alichokifanya alienda kwao akaja na mdogo wake wa kike umri miaka 15 anaishi nae chumba chenyewe kimoja.
Juzi kati kaenda tena kakuta mdogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.