Wahima ni Koo la watusi. Tambua kua Watusi wanatofautiana kulingana na Koo na maeneo yao. Wapo Wahima, Wagamba, Wanyankore , Wanyaruguru na kadhalika. Kwahiyo Wahima ni Watusi.
Hawa wao wanabaguana kuitawala. Kuna Watusi walio bora zaidi ya Wengine. Watusi wa Rwanda wanajiona bora kuliko wengine
Mwaka 2014 Kuna Bwege alinifanyia hizo mambo. Bahati nzuri brother wangu alikuepo Sasa akaamua kuivaa kesi. Ilipigwa kimbola Matata. Mtaalamu aliagiza ubongo wa kuku na wale wadudu wanazurura kwenye maji ya mto yaliyotuama. Dadeki Siku mbili nyingi Jamaa akahama mpaka Sasa sijui alipo. Yaani...
Katika maelezo yake hakuna sehem ambapo ametaja ushiriki wa Ndugu na familia ya JPM.
Pia inashangaza kwanini CDF alipinga amri ya amirijeshi mkuu bila kuwa na sababu za msingi.
Dhahiri inanyesha kuwa kunakikundi ambao wanajiita wakuu wa vyombo ambao waliamua mustakabali wa uhai wa JPM
Ule mpango wa Watusi kuomba kupewa mkoa wao na kutambuliwa mlidhani wanatania? Huyu Nyamvumba na Mzee wa mikakati, handing sehem kama hakuna operesheni za Siri. Haziwezekani Rwanda ambao wanakabiliwa na mambo mengi ya kimkakati waamue kumleta Mtu wao muhim Nyamvumba kuja kurelax Tanzania...
Machaka yapo mengi sana. Muhim wewe amua unataka ufanye Mazao Gani na ufanyie wapi. Fanya research ya masoko Yako Kisha njoo nikupe Chaka. Hiyo pesa unaweza kuidabo kwa miezi sita tu.
Hiyo pesa ingiza kwenye Mazao utakuja kunishukuru. Yaani 46M inakuletea laki Tano halafu unapata usingizi?
Kweli wenye michongo hawana pesa na wenye mitaji hawana michongo.
Hiyo pesa unapaswa kuwa imeidabo ndani ya miezi sita na kwa mwaka Uwe na 100M. Ingiza chaka Acha kukaa mjini na pesa yote...
Kisasi ni haki. Tunawapokea Mamelodi Sundowns kwa kishindo. Wakati ule MANARA, Hersi na Senzo waliungana na Kaizer Chiefs na Serikali ilikaa kimya. Hakuna kulialia Sisi ni Afrika. Tusipangiane mapenzi. Ndiaana ndumbaro anamke wake na mie ninae wangu. Nikiipenda Mamelodi usiniingilie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.