Search results

  1. cpt

    Ukikutana na abiria anachungulia unachofanya kwenye simu yako bila ridhaa yako unafanyaje?

    Dah! Hii ilinikuta juzi aisee... Nimepanda basi natoka Tabora nipo na Tablet naperuz zangu Twitter huko. Kumbe jamaa anashuka na post zangu moja baada ya nyingine uzalendo ukamshinda kwenye post ya kikosi cha Simba akaniambia emh rudisha hapo sijamaliza[emoji28]
  2. cpt

    Jinsi Putin alivyoifanya Urusi kuwa kubwa tena

    Hii makala nimeisoma twitter kwa kiingereza, naona umeamua kutafsiri
  3. cpt

    Sheikh wa Mkoa Mwanza (Kuhusu Mjadala wa Bandari): Walaaniwe wote wenye nia ovu na Rais Samia

    Haya maswali magumu sana sidhani kama atakujibu. Sidhani kama bila hicho chama walichoasisi babu zake Tanganyika isingepata uhuru.
  4. cpt

    Kwenu walimu, msifanye haya Ili yasiwakute ya Mwalimu Jimmy

    Halafu wakifanikiwa wanapost kivideo wanatuuliza " Mwalimu wa math ulisema sifiki mbali hapa ni wapi? "
  5. cpt

    Sakata la Panda Hill: Mkuu wa Mkoa na RPC Mbeya mnapaswa kuachia nafasi zenu haraka

    Wanasema hii ni mara ya pili dogo kutokomea hapo shule, je, mara ya kwanza pia alibakwa? Je, akibakwa ndio atoroke shule!? Mbona hiyo clip hajaongelea ilikuaje akafika kwa muuza mkaa?
  6. cpt

    Rostam Aziz: Dkt. Slaa alihongwa 2015 kuisaliti CHADEMA, akapewa Ubalozi

    Sio Dr Slaa tu, wengi hao wa upinzani wanahongwa ndio maana hawatakaa wafanikiwe.
  7. cpt

    Anna Tibaijuka: Dubai ni Mshindani Wetu kwenye kuendeleza Transhipment potential, tukimkabidhi Bandari zote ni sawa na Kujinyonga!

    Ni kweli mkataba una mapungufu ila nahisi mama ana hisa kwa braza Karamagi. Ni kama anapiga pasi hivi TICS ipewe bandari nyingine za Tanzania ikaoperate.
  8. cpt

    Serikali kuanza kutoza ushuru wa bidhaa wa 5% kwenye magari yenye uwezo wa injini kati ya 1,000CC-2,000CC

    Ushuru na kodi ni kitu kimoja? Maana habari inaongelea ushuru wewe unauliza kodi. Pia habari inasema wataanza kutoza ushuru, nadhani hawamaanishi kupunguza au kuongeza ila wanaanza(kitu kipya). Nimejibu kutokana na utangulizi wa swali lako, sina taaluma ya kodi.
  9. cpt

    Yanga ataishangaza dunia

    Kwa hiyo walifanya. [emoji55]
  10. cpt

    Uchunguzi wabaini mchezo mchafu wanandoa ajali ya gari kutekea moto

    Kumbe ndio yaliyojiri hayo..... Bila shaka kitengo wanamkono wao hapa maana hadi foma prezida kaenda kutupa udongo.
  11. cpt

    Ukweli unaoogopwa kusemwa kuhusu bwawa la umeme la Nyerere

    Mnaosema tungewekeza kwenye gas wala sipingani nanyi, ila kwa sasa busara ni kuanza na huo umeme wa maji. Hilo bwawa ukiacha kutuzalishia umeme pia litasaidia kuokoa lita nyingi za maji yanayomwagika tu baharini na kuyatumia katika shughuli nyingine za kiuchumi kama kilimo na ufugaji wa samaki...
  12. cpt

    Afrika yaingia Nusu Fainali ya Kombe la Dunia 2022

    Black Europeans vz Arab Africans. Ashinde yeyote tu, kama hatutakua na mahusiano ya kigenetic basi tuna mahusiano ya kijografia.[emoji23]
  13. cpt

    Watanzania wenzangu tuanze kuweka akiba ya vyakula ndani

    Kama hiyo ni spiritual, basi ngoja tuanze kutunza chakula Mkuu.[emoji28]
  14. cpt

    Watanzania wenzangu tuanze kuweka akiba ya vyakula ndani

    Nimeona na wewe mdau wa hiyo kitu mkuu, hadi umeiweka katika profile pic.
  15. cpt

    Watanzania wenzangu tuanze kuweka akiba ya vyakula ndani

    Bangi sh ngapi kwenu huko!?
  16. cpt

    Tusahau kuindoa CCM kupitia ballot box

    Mtoa mada mbona unateseka sana!? Kwani wamekukataza na wewe kuwa CCM!? Jiunge na Chama kisha hayo mapendekezo utayafanya ukiwa ndani.
  17. cpt

    Tatizo la kurudiwa kutangazwa kwa nafasi za kazi za Assistant Lecturers

    Ukweli ni kwamba kufundisha ni wito, hivyo wengi wanaochukuliwa kwa nafasi hizo za assistant lecturers wakipata green pastures lazima wakimbie. Kumbuka wengi wanaopata hizi nafasi ni rahisi kupata ajira sehemu nyingine. My mtazamo
Back
Top Bottom