Habari zenu...
Nimejikuta nimedondokea ktk instagram trends na kukuta kuna huyu mmasai wa tanzania anaitwa Kili Paul na mdogo wake wa kike Neema...
Wamekua maarufu sana ktk mitandao ya kijamii haswa tiktok, indtagram na youtube... wanafanya interview na media za india online.
Na kila muhindi...
Habari zenu,
Inasikitisha ila ndio ukweli, kama kichwa cha habari kinavyojieleza, kituo hiki mara ya mwisho nilifika kabla JPM hajafariki, ingawa kilikua hajikakamilika ila kulikua na kurupushani kidogo ukiona wajenzi wanafanya kazi.
Leo nimepita tena ila sijaona mabadiliko yoyote makubwa...
Habari zenu,
Siku za hivi karibuni kumeamza kuwa na tatizo la umeme wa Tanesco kulatika katika ktk baadhi ya maeneo ya mkoa wa Dar. Nilianza kusahau ukatikaji wa umeme kipindi fulani.
Kulikoni? Ni coincidence au ndio tunaanza kusetiwa kununua majenereta?
Habari zenu!
Nilikuwa nasikiliza na kuangalia kipindi cha mshike mshike cha azam tv, leo tarehe 19/04/2019.
Wanaongelea washambuliaji wa zamani wa kitanzania.
Wamemuhoji Mogella Zamoyoni na Edibily lunyamila na madaraka suleiman Wametoa pia reference ya Mohamed hussein wa yanga kuwa hapo...
Habari zenu,
Kama kichwa cha habari kisemavyo,
Nimekuja tambua kuwa wanawake wanaovalishwa pete za uchumba wanakuwa na 'furaha' sana, unawakuta mitaani ananyoosha kidole chake kuhakikisha pete ya uchumba inaonekana.
Au hata kama hawajaulizwa, akikutana na mtu ambaye alikuwa hajui kuwa...
Habari zenu.
Shirika kubwa la ndege Afrika, Ethiopian Airlines, liko ktk mchakato wa kununua ndege 10 aina ya Bombardier Q400. Pamoja na ndege hizo 10, shirika hilo linategemea kuongeza ndege zingine aina hiyo 5 na kufanya jumla ya ndege 15.
Lengo kuu la kununua ndege hizi ambazo hata shirika...
Habari zenu!
Kwanza NAPENDA NIJIPONGEZE na NIWAPONGEZE mashabiki, wapenzi na wadau wote wa Simba kwa ushindi wa jana dhidi ya watani zetu wa jadi, Yanga. Leo mtaani kutamu kweli, watani kama wamelowekwa maji, wapoleeee na heshima ipo.
Lengo la huu uzi ni kuhusu huyu msemaji wa Simba, Haji...
Habari zenu,
Kama kichwa cha habari kinavyosema,
Kwa kweli kuna wanawake pasua vichwa. Kuna wanawake 2 kwa nyakati tofauti, walikuwa wakorofi (full parties), nyumbani ni kelele za music sound, kuzurura na mashosti zao Mlimani city etc), na watembezi sana.
Pia masista duu, yaani anaweza...
Habari zenu!
Nimekuja tambua licha ya changamoto chache anazozipata kutoka kwa wachache wanaompinga, rais Magufuli ktk utawala wake huu, ameongeza uwezo wa watanzania kujitambua na kutambua mchango wa kodi zao.
Kauli kama 'yetu', 'chetu', na ni 'ni haki yangu kuhoji sababu ni kodi yangu'...
Habari zenu!
Juzi juzi nilimsikiliza mfanyakazi mmoja, sikumbuki wadhifa wake, ila ni mtu wa juu kidogo. Alisema mfumo huu wanaoanza kuutumia leo ni kwa ajili ya kuboresha mfumo uliopita na pia kuongeza uwazi na pia kuongeza unafuu kwa mlaji.
Nakumbuka kabla ya tarehe ya leo, 2.4.2018, kwa watu...
Habari zenu.
Kwa kweli nimeshangazwa sana ktk mabasi yaendayo haraka.
Inakuwaje nakupa pesa yangu ya kutaka kupata tiketi, mfano nakupa 1000Tshs, unatakiwa unirudishie 350Tshs sababu nauli ni 650Tshs, sasa unanipa "CHENJI" shilingi 300 na vocha ya VODA ya 50?
Nimeona wengine wanarudishiwa...
Habari zenu.
Jana nilipata fursa ya kuhudhuria BACHELOR PARTY ya rafiki wa rafiki yangu. Alinialika niende nae, na alinipa warning na kuniambia BRACE YOURSELF kwa utakachokuta.
Nilifika nae viwanja fulani (jina na club kapuni) mida ya saa moja jioni, embience ya pale tu unasisimka. Dim blue...
Habari zenu.
Leo msanii mkongwe wa hip hop na mwanaharakati ajulikanae kama Kala Pina, leo amejiondoa chama cha CUF na kujiunga na CCM.
Kala Pina alishiriki leo katika kampeni za kumnadi mgombea ubunge wa ccm ndugu Mtulia na kusema kuwa anajiunga na CCM baada ya kuona juhudi za rais JPM katika...
Habari zenu.
Wale mlio mbali na eneo hili, ubomoaji umefikia hapa. Vijana wanapambana kulishusha kwa 'mkono'. Juu ni picha ya awali kabla ya ubomoaji kuanza.
Picha hii ni ya leo, tarehe 13.01.2018.
UPDATE:
Leo tarehe 14.01.2018.
Leo tarehe 25.01.2018.
Update: leo tarehe 04.02.2018.
Ni...
Habari zenu,
Kwa kweli hili shirika la umeme Tanzania TANESCO hamsomeki kabisa.
Ukatikaji wa umeme umekuwa ni mkubwa mno. Mlituaminisha kuwa tatizo litakwisha kwa sababu ya upatikanaji wa gesi. Na pia mlisema ule mradi wa Kinyerezi utaondoa kabisa tatizo la umeme.
Sasa hivi kuna mgao...
Habari zenu!
Sijasikia mamlaka ya hali ya hewa ikitoa tahadhari kuhusu mvua kunyesha Dar.
Usiku huu hapa nilipo kuna mvua kali na ya upepo kama saa moja sasa na wala sielewi hii mvua imetokea wapi maana mpaka mida ya saa kumi hakukuwa na wingu bali jua angani.
Kwangu imekuwa ni mvua ya...
Habari zenu!
Kwa kweli TBA kama chombo kilichoaminiwa na rais kujenga baadhi ya majengo kufikia hatua ya kushindwa kubomoa ghorofa ni udhaifu mkubwa.
Mpaka sasa mmeshindwa sababu mnasuasua licha ya kwamba mko on site. Naongelea jengo la Tanesco Dar es salaam.
Tunakoelekea, mijengo ya zamani...
Habarini.
Kwa wale wenyeji na watumiaji wa Bagamoyo road, utakuwa umeona kuna shughuli inaendelea pale kituo cha daladala bondeni.
Habari nilizozipata ni kuwa wanajenga daraja la wavuka kwa miguu la juu. Kama la pale Buguruni.
Kwa kweli, hapa hii ni POOR ALLOCATION OF RESOURCES. Pale hili daraja...
Habari.
Kwa wale wanawake ambao wako eidha ktk mahusiano au wamedhamiria kabisa kuwa hawataki kusumbuliwa na wanaume kutongozwa tongozwa, waweza jilipua kwa kuwaambia WEWE NI MUATHIRIKA. Ingawa hauumwi, tumia hii kama defense mechanism, wanaume wengi tuko waoga sana na hii kitu. Tukijua, wengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.