Mrad wa rea morogoro ifakara kata ya mbasa kuna baadh ya maeneo yamechimbwa mashimo hawajaweka nguzo ili hal sehem nyingine wanasambaza nyaya na kila tukimuuliza mkandaras anasema nguzo zimeisha na hana matumain ya kuleta hii imekaaje?
Mkuu naona umerud ufipa baada ya jana pale magogon kukuudhi
karibu sana mkuu
ila usisahau uku kwetu kupotea, kuliwa na chatu au kupgwa risasi ukiwa unatetea hak ya mnyonge ni kawaida
Hii yote ni sababu ya akil ndogo kuongoza akil kubwa ]Nichukieni mtakavyo ila siwezi kuona ' Upuuzi ' unafanyika tena safari hii kutoka Ofisi Kuu na Muhimu nchini kama Ikulu halafu nikanyamaza. Mkurugenzi wa Habari Ikulu Msigwa tafadhali acha ' Kutumika ' vibaya halafu ukaharibu ' Taswira '...
Mkuu nazan huna haja tena ya kuniambia nifunguke kwa kuwa ushawaona wanakuja wenyewe
wakiona tu uzi unaohusu huyu kijana msomi alieuwawa kikatil wana panick
stay tuned atakuja na mwenzie mda c mref
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.