Wote mliomo humu ni wale mliomaliza form four na six juzi kati wakati yeye alifundisha zamani kidgo na hakufundisha kwa muda mrefu,yamkini hata product za mikono yake tunaweza tusiziskie hapa
Serkali ya awamu ya tano imejitahidi sana kuthibiti watu kuongea ongea vitu mbalimbali.Na hasa kutoruhusu mikutano ya hadhara
Hii imepelekea watu wasiowaaminifu kujificha humo na kufanya yao kwa sababu wanajua hakuna wa kuwataja!.Na serkali ishajinasibu kuwa hakuna ubadhirifu wa fedha...
Nimekuwa nakutana na wanafunzi wanapiga makelele, na wakimuona mwl wa kike wala hawaachi. Lkn wakimuona wakiume utaona wanakaa kimyaa.. Lakini pia hata nikiwa natambulishwa tu huwa naona utofauti mkubwa sana kati ya wanafunzi wanavyomchkulia mwl wa kike na wakiume...
Sent using Jamii Forums...
Nimejarbu kupita karibu shule zaidi ya 300, nikitembeza vi-handouts kwa masomo mbalimbali. Awamu ya kwanza nilitembeza mkoa wa Dar es salaam, kisha Iringa, Moro, dom, singinda na Tabora. Nilikutana na walimu kadhaa maofisini wakiwa na ari ya kufany kazi sana. Hata wengine walininyima kabisa muda...
Sio kweli kuwa nikiwa ccm nakubaliana na kubalianana kila jambo.ndio mana nikasema kwa hili japo mim ni ccm sikubaliani nalo na wala si kosa kwa mwanaccm kutoa mawazo yake..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.