Jana tarehe 23, majira ya saa tatu usiku nilifika hospitali ya Malawi - Yombo, (yenye hadhi ya kiwilaya - ni referral hospital katika ukanda wa temeke) nikiwa na kijana wangu mdogo ambae alikuwa na homa, huduma zikawa zimesimama kwa kinachoelezwa umeme hauko sawa katika majengo ya mapokezi...
Usalama wa raia ni moja ya jukumu la jeshi la police, sasa km ameokotwa mtoto ambae anaweza kujieleza mpk shule anayosoma inafahamika, tena ni ndani ya mkoa mmoja hapo jeshi wanashindwa vipi kumrudisha huyo mtoto kwao, huoni km kuna watu wanakwepa majukumu yao?
aliyefungua uzi km ni kweli anapaswa kuheshimiwa kwa kujuza jamii, idadi kubwa ya vijana wanao soma certificate bado ni wadogo, yaani ni wahitimu wa kidato cha nne, hii ni taarifa muhimu kwa wadau wa elimu na wazazi kujua nini kinachoendelea na kuchukua hatua za haraka
Taarifa ya mtu kupotea kiutaratibu inathibitika baada ya masaa 48, unatoa taarifa za awali kituo cha polisi halafu unaendelea kumtafuta sehemu mbalimbali, huwenda mtu alianguaka njiani kapoteza fahamu akakimbizwa hospitali, inatakaiwa muhusika/mtafutaji kwanza upite sehemu zote hizo, yaani...
Malipo ya VAT hufanyika kila baada ya kufunga hesabu za mwezi za mfanya biashara kutokana na MANUNUZI na MAUZO alioyafanya, na hilo litajulikana kupitia mauzo/manunuzi aliofanya kwa mashine ya risiti (EFD – machine) na kiasi kinacho tozwa ni asilimia 18% ya manunuzi/mauzo yote , manunuzi/mauzo...
Habar ndugu, kwa suala la usahihi wa mzigo kuingia, kotoka au kurudishwa uliponunua kutokana na kuharibika, pia pamoja na utunzaji wa hesabu za madeni unayodai/unayodaiwa hapo unahitaji program ya kihasibu ambazo zipo nyingi sana, mfano mzuri ni program ya Tally ERP 9 na QuickBook, changamoto...
kama kuna kada inafuatiliwa kwa karibu ktk utendaji kazi, ya ualimu inaongoza, ndoo maana kuna mpk kitengo cha ukaguzi ambacho kinawakagua waalimu mara kwa mara. wakati kada nyingine toka mtu anaajiriwa mpk anastaafu hajawahi kukaguliwa utendaji kazi wake
Halafu ili kuutukanisha UISLAM unaanza na kutoa salam ya kiislam ili watu wajue mtoa mada kuwa ni muislam, na hayo ndio yanayo waaminisha watu kuwa waislam ni wapiga ramli,
Katika mafundisho ya kiislam hakuna mtu mwenye elimu ya jambo linalotarajiwa kutokea, huo ni USHIRIKINA, na nikinyume...
Pole sana kwa yanayokusibu, usahihi nenda hospitali zungumza na madaktari shida yako ndio watakupa majibu sahihi pamoja na kukupa tiba, hapa Jamii Forum kila mtu ni mtaalam hata kwa tusioyajuwa, utajiongezea mataizo.
Iko hivi ndg, kawaida makampuni wanapofanya miamala ya kibishara kunakuwa na nyaraka za miala hiyo, huo ndio ushahidi wenyewe km umekopeshwa halafu ukashindwa kulipa kinachofanyika kuondoa usumbufu ktk kampuni kazi hiyo inakabidhiwa taasisi nyingine kufuatilia deni hilo kwa makubaliano ya...
Duh, kwani kila jambo lazima mchangie, hata km huna uelewa nalo ndugu, ni vizuri wakati mwingine kusoma maelezo ya wengine, unaweza kujifunza kitu.
Mtawanyiko wa wodi zote na sehemu zote za hudama pale muhimbili zinafikika kwa miundombinu yote, yaani kuna njia za gari na kuna njia za waenda kwa...
Inaonekena huijui ukubwa wa muhimbili ilivyo, baadhi ya wodi na wodi au na mortuary zilipo ni umbali unaozidi kilometa moja na zaidi, ni shida sana kwa wahudumu kumuhamisha mgonjwa au maiti toka sehem moja mpk nyingine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.