Habari zenu wadau.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.Mimi naishi kahama mkoani shinyanga.Wazo langu ni la kufungua Mashine ya kusaga na kukoboa mahindi.
Nilipata sehemu karibu kabisa na transforma maeneo ya kahama vijijini.Nikapanunua na kujenga boma la mashine.Nikafuatilia tanesco masuala...
Habari zenu wanajukwaa.
Siku za hivi karibuni huyu Dr amekuwa akijitokeza huko aliko na kusema jambo pale linapojitokeza jambo lenye utata ktk Taifa.Lakini tangu litokee hili la Ndugu yetu Tundu Lisu kushambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana[emoji33] ,sijasikia wala kusoma mahala popote...
Habari za jioni wanabodi.
Poleni kwa stress za makanikia party 2.
Kama kawaida yangu huwa sipendi kuwachosha kwa porojo nyingi.
Nimekuja kwenu mnitoe tongotongo mwenzenu.
Katika izi siku mbili kuna Uzi uliwekwa humu wa kutaka kujua historia ya jf.Sasa kwa bahati nzuri na Mimi nilipata nafasi ya...
Habari zenu wanabodi.
Nimatumaini yangu mu-wazima wa afya njema.Naomba nijielekeze kwenye mada husika pasi na kuwachosha.
Kilichonifanya kujiuliza swali hilo hapo juu ni kutokana na mfululizo wa matukio kadhaa wa kadhaa ktk mahusiano yangu ya kimapenzi.
Nakumbuka tangu nianze mahusiano ya...
Habari za jioni wakuu
Naomba niende kwenye mada moja kwa moja.Nakumbuka kipindi cha nyuma,kabla ya habari yoyote haijatoka sisi humu tulikuwa tunazipata tetesi mapema kabisa na mwisho wa Siku tetesi inakuwa kweli.Hakika enzi izo tulikuwa tunaenjoy sana humu....lakini Siku izi tunashtukizwa...
Habari za jioni wakuu,
Naomba msaada kwa yeyote atakayeweza kunipa points za mada hii
"Tanzanian Education System does not Produce Independent Tanzanian's rather than Dependent."
Points ziwe zinakubaliana na mada.
Natanguliza shukrani.
Wadau
Kumekucha uchaguzi wa serikali za mitaa.Muda mfupi uliopita nilikuwa maeneo ya hapa sokota temeke.
Nilichokishuhudia ni makundi ya kina mama na wazee pamoja na vijana wachache,wakitoka moja ya nyumba zilizopo katika uchochoro uliopo karibu na bar ya Kisuma.Niliamua kumfuata mmoja kati ya...
Wadau,
Kwanza kabisa napenda kutoa pongezi zangu za dhati kabisa kwa baraza la mitihan Tanzania.Kwakweli kwa miaka miwili mfululizo sasa(2013&2014)wamejitahidi kutoa matokeo ya drs sa 7 mapema na kuyaweka kwenye mitandao.
Lakini mbona sioni mpaka muda huu hizo shule walizopangiwa hawa vijana...
Habari zenu wakuu,
Mimi nilikuwa mshabiki wa kutupwa wa hili shindano la kusaka vipaji vya kuimba hapa bongo,Epiq Bongo Star Search (EBSS).Ambalo lilikuwa likifanyika kila mwaka.Lakini nashangaa mwaka huu kimyaaa....vipi kulikoni?!!
Mwenye taarifa kuhusu jambo hili tafadhali naomba atujuze.
Kila kukicha nimekuwa nikisikia matangazo ya dawa za kurefusha(kuongeza) uume.Lakini mbona sijawahi kusikia hizo za upande wa pili(za kuongeza papuchi)?
Je,hii ni haki kweli?
Usawa uko wapi hapa?
Mbona hatuwatendei haki hawa dada zetu?
Utarefushaje uume huku ukiuacha uuke katika hali ile...
Hakika leo nathubutu kumuomba msamaha ndg Nchemba kwa mawazo yangu hasi juu yake. Nilimdharau na kumzihaki!! Nilimuona kama kada maslahi kumbe sikuwa sahihi!Leo nadiriki kujitokeza hadharani na kukwambia SAMAHANI.
Mchango wako wa leo bungeni ndio ulionibadilisha mtazamo wangu hasi juu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.