Hii issue ya umeme kupanda na kushuka ni kweli, siku hizi umeme unazima zima Sana.
Nina stabiliser na tv yangu imekata ghafla tu hakuna picha ni audio tu sijajishuhulisha nayo lkn najiuliza ni umeme? Au ni yenyewe tu!
Vifaa vya umeme ni pasua kichwa sometimes
Sent from my M2101K6G using...
Swali hili limenilenga mimi, kiukweli mvi niliota mapema sana, naingia form one 1990 nilionyeshwa kuwa Kuna mvi kichwani mwangu sikuamini, nilimwambia aingoe nione dah ilinikera Sana
Sasahvi simetapakaa karibu kichwa kizima naitwa babu[emoji3][emoji3] ni mwendo wa super black tu
Huko nyuma...
Na mmi kwenye note 10 pro nashindwa kutumia upande WA OTG
Nilipohama kwenye Samsung s10e nilikuwa natumia vzr Sana
Ukisoma specification kwa redmi note 10 pro ipo
Siku hizi nimekwama sna kwenye mambo ya movie na baadhi ya documents zangu kuzihamishia kwenye flash
Ni story ndefu Sana mkuu
Lkn ssi binadamu hasa tunaozaliwa ndani ya familia za kikristo sio rahisi kuamini kuwa baadhi ya vitu hasa umaskini, maradhi, Vifo na hata kupoteza kazi vinasababishwa na uchawi au ushirikina.
Uchawi= ushirikina ktk familia yetu tunatoka kwenye familia ya kawaida tu...
Uchawi na ushirikina sikuwahi kama nitakuja kukumbana navyo
Nimenusurika ajali zaidi ya tano
Mke nilieoa nikaishi nae miaka zaidi ya kumi Sikuweza kuchepuka
Siku nilipoweza kuchepuka hapo ndio nilijua mke wangu na baba mkwe ni watu wa aina gani
Ni mwaka sasa lkn niliyoyashuhudia ni hatari
Chini...
T corn ni kidhibiti cha saa hutafsiri Kati mawimbi ya kawaida ya video na ishara mahususi na kiendeshi cha safu MLALO na safu vinahitajika na panel mahususi ua LCD au nyingine
Hivi vitu ni very calculated hebu fikiria umetumia mifuko ya wallputty 40 ×kilo 20 kwa mfuko=800kg halafu ukaona eneo hilo ungetumia white cement 10 ×30kg kwa mfuko =300. How?
Kwenye uchanganyaji wa white cement mfuko 1 ni ndoo 2 za white emulsion kwa skimming ya coat mbili.
Adhari ya white...
Tigo mnayoizungumzia ni mtandao huu wa Tz au kuna mwingine?
Binafsi tigo kwangu iko slow Sana yani hata sasahvi ni 0.0kbs et 4g
Tigo hakuna kitu na mmi niko mjini centre kabisa
Japo hajataja hizo brands ila kiukweli hizi flat tvs ni pasua kichwa
Kadri unavyoitazama(on) ndio maisha yake yanavyozidi kupungua.
Ugonjwa wa hizi tvs ni back light na t-corn hayo mengine ni wwe na watoto wako na tanesco
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.