Search results

  1. G

    Tuliposema mazao yasiuzwe nje hatukueleweka, sasa hatuna cha kufanya!

    Madalali ndiyo waliopo na serikali hainunui, sasa ukimlaumu afanye nini?
  2. G

    Tuliposema mazao yasiuzwe nje hatukueleweka, sasa hatuna cha kufanya!

    Kwani wakiuza kuna shida gani? Waliyalima wenyewe halafu mnawapangia wafanye nini?
  3. G

    Tuliposema mazao yasiuzwe nje hatukueleweka, sasa hatuna cha kufanya!

    Hata hiyo bei ya madalali ni ya juu kuliko ya serikali.
  4. G

    Tuliposema mazao yasiuzwe nje hatukueleweka, sasa hatuna cha kufanya!

    Hiyo ni kweli. Mtu anawaza mchele usiuzwe nje, kwani mtu wa ndani alizuiwa kununua? Au ni hii tabia ya kuwadharau wakulima? Tunawazuia kuuza mazao yao nje ya nchi penye bei nzuri halafu wanaenda kununua vitu vingine kama sukari, majani ya chai nk. kwa bei wauzaji. Kwanini mkulima asiuze mazao...
  5. G

    Hayati Magufuli alipozuia chakula kisiuzwe nje mlikebehi, sasa mmeonja joto ya jiwe na kusalimu amri

    Atuambie na bei yake ya kununulia. Serikali haina tabia ya kununua mazao ya wakulima kwa bei ya kuridhisha.
  6. G

    Waziri Bashe anajisikiaje baada Rais kupiga marufuku chakula kuuzwa nje ya nchi? Ni busara akaachia ngazi

    Kwa ukweli Tanzania kila siku sera zake zinabalika utafikiri hali ya hewa.
  7. G

    Waziri Bashe anajisikiaje baada Rais kupiga marufuku chakula kuuzwa nje ya nchi? Ni busara akaachia ngazi

    Tunafurahia mazao kutokuuzwa nje ya nchi ili wakulima wetu wafilisike? Mbona vitu vingi tunauza nje na hakuna tatizo? Mbona Tanzania inanunua nguo kutoka nje badala ya kutumia pamba na hakuna tatizo? Mimi siungi mkono zuio la mauzo ya mazao nje ya nchi kwa sababu soko la ndani linawahujumu sana...
  8. G

    January Makamba: TANESCO sasa wamesitisha miradi ya ujenzi wa maofisi na kuelekeza fedha kukarabati miundombinu ya Ugavi

    Hiyo scheduled repair inanyika wapi na saa ngapi? Huu ni uhuni tu kuzungumzia mambo jumla jumla. Umeme unakatika muda usioleweka na na ukipita mitaani huwaoni hao wanaofanya scheduled repairs? Waziri uwaambie TANESCO waweke tangazo kwenye magazeti yenye kuonesha ratiba ya Scheduled repair...
  9. G

    Wamiliki wa mabasi fursa mmetengenezewa hiyo hapo chukueni hela

    Kwa mfano, mpokeaji anakuwa yupo Mbeya na mlipaji yupo Dar. Mnakubaliana muda wa mtuamaji kufika kwa Wakala wa Dar na muda wa mpokeaji kufika kwa wakala wa Mbeya na kutumia vielelezo na kama picha ya mtumaji na mpokeaji, miamala inafanyika kama kawaida.
  10. G

    Kodi mpya za miamala: Mahakama iweke zuio la haraka

    Wanasheria wanasimamia kesi. sisi wananchi ndo tunatakiwa kuwaambia kufungua kesi.
  11. G

    Kodi mpya za miamala: Mahakama iweke zuio la haraka

    Ngoja tuhamasishe mgomo kwa siku moja ili tuone. Je? yale malipo ya serikali ambazo tunayolipa kwa njia ya M-Pesa nayo yanakatiwa kodi?
  12. G

    Kodi za Kizalendo kwenye huduma za simu fedha na mafuta zitampaisha Dkt. Mwigulu uchaguzi mkuu ujao au 2030

    Baada ya kuona watu wameacha kunywa pombe wakaogopa kuongeza kodi kwenye pombe, sasa wameamua kwenda kwenye simu. Hata huku tutagoma.
  13. G

    Rais Samia: Fedha ambazo zingegharamia Sherehe za Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, zigawanywe sawa

    Hilo nalo neno. Nijuavyo mimi mambo ya Muungano yanaendeshwa kwa fedha zinazopatikana Tanzania bara ukiacha mikopo toka nje ya nchi. Mathalan, Zanzibar wana mamlaka ya kodi wakati mamlaka ya kodi ya Muungano, yaani TRA huwa haikusanyi kodi huko Zanzibar. Wazanzibar lazima waelewe kuwa kama...
  14. G

    Bwana Tundu Lissu, Hoja ya Chato na Maendeleo ya sasa inajibika Kimantiki

    Sina imani kama unaamini unachokisema
  15. G

    Bwana Tundu Lissu, Hoja ya Chato na Maendeleo ya sasa inajibika Kimantiki

    Nakubaliana na wewe kabisa. Hoja kubwa ni kuwa hayo yanayofanyika huko yana uwiano na yanayofanyika kwingineko hapa Tanzania? Chato ni makazi binafsi ya rais ambaye kwa nafasi yake halazimiki kwenda kujengea makazi ya hadhi ya rais kwasababu ana ikulu. Baada ya kumaliza kujenga nyumba yake...
  16. G

    Uchaguzi 2020 Mnyika: Sakata la Wabunge wa Viti Maalum limehusisha mfumo wa Serikali kufifisha ajenda ya 'Uchaguzi haramu'. Ahoji Nusrat kuteuliwa akiwa gerezani

    Hao BAWACHA walipewa fursa ya kugombea (Halima alikuwa Kawe), "hakuchaguliwa". Mfumo dume umetumika wapi, CHADEMA au Kawe? Wangeandama kwenda Kawe, kule Halima alikokosa kura. Hizi nafasi za viti maalum ni za uteuzi, na zote ni za wanawake. Hakuna mwanaume atakayepewa nafasi hiyo hata kama...
  17. G

    Uchaguzi 2020 Mnyika: Sakata la Wabunge wa Viti Maalum limehusisha mfumo wa Serikali kufifisha ajenda ya 'Uchaguzi haramu'. Ahoji Nusrat kuteuliwa akiwa gerezani

    Walioapishwa waliteuliwa na Chama? Tumia akili ndogo kuelewa na kujibu hoja. Kama hakuna ulazima wa kuteuliwa na Chama basi hakuna sababu ya kutaja kwamba wanatoka chama fulani. Watekeleze wajibu wao kwa namna yao wanayojua lakini siyo hiyo ya sasa
Back
Top Bottom