Hapa morogoro kuna redio kadhaa pendwa moja wapo ni Dizzim fm ambayo mmiliki wake ni salam sk (meneja wa WCB/Diamond platinums, cha ajabu rediao ya wasafi mpaka leo hailetwi morogoro imeruka imeenda dodoma na iringa,je nikwamba anaogopa kumuongeza competition kweny industry yake,mana tayr kuna...
Habari JF,
Recently kumekuwa na hizi Bahati nasibu mbili (kamali) toka kwa vituo vya redio E FM na Mawingu FM, wanajinasibu kua wanatoa milion moja kw watu watatu afu wanampigia simu mshindi mmoja ati awakilishe wengine, kwanini msipige kwa wote watatu ili tujue sio ujanjaujanja.
By the way...
Habar wakuu,
Nimefanikiwa kupata ka bbywalker kangu. Bahati mbaya nimekuta kina yyte size 14 sasa napend sana zile tyre kubw kubw je kwa Toyota Allex nawez weka maximum size ngap ili niwe comfotable barabaran?
Habari wana JF,
Recently kumetokea ugonjwa wa ngozi haswa kwa maeneo ya Dar na Moro, ambapo mwili huwasha na kutoa vipelepele ambavyo hutoa kama maji maji hivi na hali hii hutokea kwa wakubw na wadogo.
Je, ni ugonjw wa msimu?
Habari mwenye gari tajwa hapo naomba anichek 0678265683. Sitaki Dalali maana wamekuwa na ubabaishaji unaenda kukuagua gari Kigambon mara gari haipo ipo Sinza mara gari ipo Mwenge. So kama ni Dalali usinitafute kabisa.
Salama wakuu.
Nahitaji gari tajwa hapo juu iwe katika hali nzuri na Muuzaji akiwa mmiliki itakua jambo zuri zaid.isiwe repainted.isiwe rangi nyeupe wala nyekundu, offer ni 7M.
Nawasilisha.
Whatsapp 0744265683
Salama wakuu.
Najarbu ku flash back yale mambo ya secondary haswa O'level kwa shule za bweni. Binafsi nakumbuka mambo mengi ila Haya makubwa Mawili nakumbuk zaidi.
1: Ilikua asubuhi sana nikiwa Nina kama siku tatu tangu nimeingia bweni form one pale Puguboy. Nikaamka zangu asubuhi na mapema...
Nimeona mahali haka kagari kanaitwa daihatsu mira. Kako na Cc 660 ila kama body shape kali sana kama porte flank hivi au Toyota aqua. Naomba kujua kuusu hizi gari maana nadhani ni same like terios kid. Sasa je spare zake na mapungufu yake ni yapi.
NB: Tuonataka kununua gari karibuni tunahaha...
Habari wadau..
Naomba kwa wajuaji wanijuze gari gani inafaa apo kwa ss watu tunaohitaj kumiliki gari kwa mara ya kwanza.
NB: Nataka kununua kwa mtu mkononi so ukinambia na maelezo ya kuzingatia nitashukuru.
Naomba kujua namna au utaratbu wa kupata cheti cha ndoa kile ambacho kinatambulika serikalini..mimi ninacho kile cha BAKWATA niliende RITA wakasema niende BAKWATA sasa kwa mwenye kujua utaratibu wao aniambie.
Habari wana JF,
Kama kuna anayejua hatma ya hawa vijana ambao Serikali iliwapangia kwenda kusoma Vyuo vya Ualimu level ya Diploma na baada ya miezi sita chuoni wakarudishwa nyumbani kwa kuambiwa vyuo vimefungwa wakisubiri muongozo wa Wizara juu ya mtaala wao hatma yao ni nini!?
Wengi walipata...
Wakuu salama,
Kwa Mwenye ujuzi na magari haya mawili yote yawe Yana Sifa zinazofanana kwa mana production year engine capacity na mileage ipi ni gari bora zaid?
Toyota mark X
Toyota brevis
Habari JF.
Nimepata transfer kuja Morogoro kikazi mjini ila sina wenyeji hapo kabisa hivyo naomba kujua gharama za chumba kimoja ambacho ni self container pawe na maji na security nzuri naweza pata kwa bei gani. Au hata chumba na sebule cha quality hio.
Na maeneo mazuri ya kuishi kwa...
Kuna nusu final leo ya copa italia. Ila batle kubwa ni hawa watu wawili. Mreno Cr7 na m Sweden Zlatan Ibramovc.
Lete mtazamo wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari, bila shaka kuna wana Psychology humu naomba msaada namna gani naweza kuacha mchezo huu wa betting maana naliwa kila siku ila sikomi hela zinaisha tuu.
Kila siku najipa moyo nitapata tu. Namna gani naweza kujizuia hii hali?
Sent using Jamii Forums mobile app
Salaaaam...kumekua na awa jamaa sjui wanapewa tenda toka kwa nan.lakini haswa wapo maeneo ya kariakoo na posta wakiona umetupa au kuangusha hata tiketi tuu watakuganda ao kama vile nini kikubwa wanakupa vitisho tuu uwape hongo.maswali ya msingi je kuna dustbin za kutosha?
Jibu hapana unawez...
Habari.
Kuna jamaa ana-emrgence anauza eneo lake lipo Chanika, unashuka Kituo cha Buyuni kutoka Stand hadi hapo mwendo ni dakik 15.
Kina nyumba ipo katika lenta ya vyumba viwili na kimoja ni master. Kuna sebule, choo cha public na eneo la 28×30. Umeme upo jirani.
Bei ni milioni 7...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.