Habari wadau, nauliza kama kuna mfanyabiashara yoyote anasafirisha mzigo kutoka Indonesia kuja Tanzania, au anafahamu kampuni yoyote inayosafirisha mizigo kutoka huko kuja huku.
Natanguliza shukrani kwa msaada.
POST DETAILS.
EMPLOYER: CORIS COMPANY LIMITED
POST: CASHIER
QUALIFICATIONS;
Diploma in Accounts or any related field
Send your CV and Application letter to;
salescoris@gmail.com.
Or bring it to our Office Mabibo Hostel near Lake Oil petrol Station.
Hili swali hata mimi nimejiuliza sana. Yaan daladala tu ijaribu kupita njia za mkato huwaga ni shughuli sembuse bajaji ambayo umeikodi mwenyewe. Ukodi bajaji ya kwenda ubungo external Hlf ikupeleke buguruni?????? Ukubali kwenda buguruni hlf ulipe na uchukue tena Usafiri mwingine wa kukupeleka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.