Habari zenu jamani
Katika familia yangu tumezaliwa wawili Mimi nikiwa ndiye mtoto wa kwanza alafu akafwata midogo wangu ambaye tayari ni marehemu mwezi sasa umepita.....nimebaki Mimi na mama yangu baba alishafariki miaka imepita.
Kabla ya mdogo wangu kufariki alikuwa ni kipenzi cha mama sana...
Habar zenu waAfrika kamili.
Kwa kifupi mimi ni mzima kabisa yaani sijui niseme nini kwa kweli nashukuru kichwa kimepona japo kilikuwa kinauma kwa mbali.
Sijaja humu kwa salamu tu kwa sababu nitaishia kukosolewa lengo kuu ni kuhusu mahusiano nilikuwa naogopa kuingia katika mapenzi kwa sababu...
LOVE STORY-3
Baada ya miriamu kusikia vile kutoka kwa mama wa Brayan alikimbia na kutoka nje ya nyumba Brayan alimkimbilia na alipotoka nje alimkuta analia alijaribu kumbembeleza lkn miriamu alilia sana huku akiongea kuwa mimi maskin ndo natengwa hivyo?
Mimi mwenyewe sikupenda nilitamani niwe...
Habari zenu....nawaleteeni LOVE STORY...ni miriamu binti mzuri mpole na ambae amelelewa ktk mazingira ya kimaskini lkn n mwenye tabia nzur na mwenye kuridhika na maisha yake hajawahi kupenda ila amependwa na wanaume wengi ambao naweza kusema hawana malengo na yeye ila kumtamani kwa uzur wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.