Search results

  1. R

    Connects dots hapa

    Mkuu kwani si katiba ya Tanzania inasema mgombea uraisi anashinda kwa kupata kura nyingi kuliko wengine? (Refer marekebisho ya katiba aliyofanya Mkapa 1996 kama sijakosea...
  2. R

    Mkutano mkubwa wa ACT - Wazalendo Musoma Mjini (Tarehe 20 Aprili, 2015)

    Hata mimi Zitto akija huku niliko nitaenda kwenye mkutano wake... Ila kura yangu.. atasubiri sana...
  3. R

    Hatimaye! CCM yafikiia tamati ya utawala wake

    UKAWA... Tupo TAYARI CCM... WAMESHAFELI
  4. R

    Kikwete na CCM kuwahadaa wafugaji: Ni Aibu, ni Fedheha, na si Haki....

    Kwani isingekuwa ni wizi na ufisadi wa CCM wewe ungefika hapo ulipo?
  5. R

    Kikwete na CCM kuwahadaa wafugaji: Ni Aibu, ni Fedheha, na si Haki....

    Sidhani kama CCM itapata tena kura hata moja kutoka kwa wafugaji mwaka 2015.
  6. R

    Kinachoendelea CHADEMA Mitandaoni: Je, ni Ushujaa wa Mhe. Lema au ni Udhaifu wa "Kule Juu"?

    Inasemekana alikuwa kiongozi, na aligombea ubunge 2005 huko Arusha. Hakushinda, na binafsi sikuwahi kumsikia kabla hajajiunga CHADEMA... Leo Lema anaitwa "mbunge machachari" huku "akiunguruma" katika siasa za upinzani na misemo mingi anayonukuu watu maarufu... Najiuliza tu... Kwa nini Lema...
  7. R

    Unafiki wa Zitto Kabwe na suala la Posho - Lema

    Kuna maswali nilikuwa najiuliza sana tangu Mwigamba "aliponaswa" but nikawa sipati majibu. Mnajua bana, coincidences are not so easy to coincide. Kuna sarakasi zimepigwa hapo CHADEMA, moja ya Mwigamba, na nyingine ya Lema vs Zitto... Hebu tufanye postmortem kidogo ya tukio la Mwigamba...
  8. R

    Godbless Lema, Shujaa Mahiri Anayekiuka Kanuni za Chama

    Kuna maswali nilikuwa najiuliza sana tangu Mwigamba "aliponaswa" but nikawa sipati majibu. Mnajua bana, coincidences are not so easy to coincide. Kuna sarakasi zimepigwa hapo CHADEMA, moja ya Mwigamba, na nyingine ya Lema vs Zitto... Hebu tufanye postmortem kidogo ya tukio la Mwigamba...
  9. R

    Mbunge Lema hajatulia, afungwe gavana, rahisi kusababisha mitafaruku

    Kuna maswali nilikuwa najiuliza sana tangu Mwigamba "aliponaswa" but nikawa sipati majibu. Mnajua bana, coincidences are not so easy to coincide. Kuna sarakasi zimepigwa hapo CHADEMA, moja ya Mwigamba, na nyingine ya Lema vs Zitto... Hebu tufanye postmortem kidogo ya tukio la Mwigamba, then...
  10. R

    Ushuhuda na ushauri kwa wenye tatizo la kupata mtoto...

    Miaka kadhaa iliyopita nilileta posts nikiomba ushauri jinsi ya kukabiliana na hali ya kutokuwa na mtoto katika ndoa yangu kwa miaka kadhaa. Niliwashukuru, na naendelea kuwashukuru walionipa matumaini. Namshukuru Mungu kwani hatimaye, mapema mwaka huu mimi na mke wangu tulijaaliwa mtoto... Kwa...
  11. R

    Nilivyofunga "bao la mkono"...

    Kiukweli mimi sio mtu wa kuonyesha haya 'makea artificial' kwa mke wangu, nikizingatia kuwa akiyazoe ntakuwa 'sina jipya' alafu atanchoka. Sasa siku moja tulitinga harusini na my beloved wife, na kwa kuwa siku hiyo tuliunganisha functions, tulifika tukiwa tumechelewa kidogo. Ile kuingia...
  12. R

    Ni nani huyu: Jumanne Miraji Simba

    Wakuu, kama kuna mtu yeyote independent mwenye interest ya kuchunguza suala la Kibanda na la video ya Rwakatare, amchunguze huyu mtu... Kwaherini
  13. R

    Zanzibar: Padre apigwa Risasi na watu wasiojulikana

    Father Mkenda namfahan, he is a such a kind person. Sina uhakika hatua zipi, but kwa sasa nadhan wakristo hawana budi kuchukua hatua dhidi ya vitendo vya kuhujumiwa Zanzibar.
  14. R

    Ushauri: Zitto aanzishe Chama chake kingine...

    Mtammezea mate lakini hamumpati... Zitto ni CDM damu
  15. R

    PICHA: Mkutano wa CCM Mbeya

    kwa sababu yeye ni sugu...
  16. R

    Ratiba ya mapokezi ya Lema kesho Arusha!

    Unasoma la ngapi? Kwanza rudisha hiyo simu ya mama unammalizia vocha kwa kujifanya unajua kutumia intanet...
  17. R

    PICHA: Mapokezi ya Godbless Lema jijini Arusha - Disemba 22, 2012

    Tayari nshaanza kupata picha ya itakavyokuwa November 2015 tukielekea magogoni...
  18. R

    Sumu ya Saanene - swali kwa MASALIA a.k.a PM-7

    Hahahahaaaa.... redcat inaua fasta kuliko polonium mkubwa... ila inavyonuka hata wakikuwekea kwenye fenesi lazima ushtukie...
  19. R

    Ushindi wa Lema, aibu kwa Clouds FM

    Ni Kenneth Nollo ninayekufahamu (uliyekuwa raisi SUASO), au majina yamefanana?
Back
Top Bottom