Umesema upo Tabora, tafuta mti unaitwa gogondi ni maarufu sana mkoani Tabora, tumiq majani yake kama chai kila mara, ukiweza usiweke sukari, kunywa mara 3 kwa siku, pia wakati wa chakula cha jioni kula ukisindikizia na chai hiyo isiyokuwa na sukari.
Ni majani mazuri yenye uchachu kiasi, pia...
Sijawahi kuitumia ila wanaotumia wanadai inasaidia. Menya viazi mviringo kiasi kitakachokupatia juisi glass moja. Tengeneza juisi asubuhi na kunywa glass moja kabla ya kula chochote na baki bila kula hadi ipite walau saa 1. Kisha endelea kula kama kawaida. Juisi inatia kichefuchefu wakati wa...
Hizi mbegu mwisho wa siku zitasababisha kifo hapa jamvini, wengine wanasema mbegu hizo zinatokana na miti (hizi sizifahamu, labda zinaweza kuwa salama), lakini hizi zinatoka kwenye mmea unaotambaa kwenye miti mbegu za mmea huo ni sumu.
Toa ripoti polisi wakuandikie loss report, nenda na loss report kituo chochote cha bima ya afya watakupatia fomu za kujaza na kulipia Tshs 20,000 bank. Watakutengenezea kadi nyingine
Ni kweli nchi hii asilimia 80 ya watanganyika ni vilaza, dili likisukwa vizuri ni asilimia 5 tu wanaweza kugundua, na watagundua kwa matokeo ya mpiga dili, vitabu vyote hata kama CAG mwenyewe akifanya audit haoni kitu
Mkuu Ramea watoto wa nguruwe wanapozaliwa wanakuwa na upungufu wa madini ya chuma, pia mwili wake unakuwa na uwezo mdogo sana wa kuzalisha damu ya kutosha, hivyo inashauriwa siku ya tatu baada ya kuzaliwa watoto wa nguruwe wachomwe sindano ya dawa yenye madini ya chuma, pia unatakiwa uwakinge na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.