Wewe ndio umejitia aibu na fedheha. Wapi ZZK anashangilia? Wewe na wenzio wengine msio na uzalendo hanpendi kuona wananchi wanapata elimu ya uraia. Wanaioachambua ripoti ya CAG kama Zitto wako wengi. Yeye anaxhambua kilichofanywa na kuonwa na CAG. Haiongei kilicho chake. Umeacha kuchambua...
Mtoa uzi hujaelezea ubaya wa hii kitu ni nini? Hasara anayopata mkopaji ni nini ikiwa amepata sababu ya kukopa? Nachohisi, mtoa thread ni mmoja wa wakopeshaji wa mtaani ambao "salary advance" imewapiga Kofi la uso maana wateja wamewakimbia
kampeni hii ina sura ya kitaifa hivyo ingepaswa kuratibiwa na makao makuu (viongozi wa kitaifa). viongozi wa majimbo eg wabunge au wilaya au mikoa au kanda wangeongezea nguvu tu.
lakini kwa ugaidi wenu CCM mmewakataza viongozi wa kitaifa, kimkoa na kanda kufanya mikutano isipokuwa wabunge tu...
1) amejua kujenga na kutetea hoja wakamuelewa
2) Zitto kawakilisha tu kundi kubwa la watetezi wa haki elimu kwa wasichana wa Tanzania
3) Ndugai, bunge lako limekuwa part ya serikali.....limekuwa hovyo kabisa na dawa ni kuli-bypass
4) afuate urasimu wa kuwasilisha mabadiliko ya sera wakati...
Mtu au chombo cha habari kikiandika habari ya kuwasifia HAKITUMIKI ila kikiandika udhaifu au habari msiyoipenda KINATUMIKA. Ukiwa hupendi kukosolewa, piga marufuku kusifiwa pia
Ndio ule msemo "ukicheka na mbwa atakufuata hadi msikitini". Huyu dogo anaharibu kila uchwao anachekewa tu. Naona hadi siku alete kilio kizito kwa jamii au serikali ndio JPM ataamka kuhusu huyu dogo. Utamu wa kumhujumu Mbowe umemnogea. Dogo anapenda blackmailing so probably wale wenye mabasi...
Natambua na kuheshimu mawazo yako lakini naomba kupishana nawe,mkuu. Nilivyoelewa mimi ni kwamba, CHADEMA wamejibu swali la "mlifanya nini kutafuta maridhiano ya kitaifa". Washafanya mengi kea njia za kistaarabu kuendesha siasa japo wanasulubiwa sana na JPM. Hapa naona wamesema "tuwasilishe...
quotes nyiiiiiiingi lakini kama ninge-mark hii insha yako ningekupa 20% kwa huruma ya muda ulioutumia kuandika hii insha-fyongo. Major failure ni tafsiri yako kwamba alijipigisha zile risasi na mazingira uliyoyajenga kuzunguka hiyo tafsiri. Pia nilivyokuelewa ni kwamba Lissu na chama chake pia...
Waislam hamkuficha udini wenu wakati wa Prof Mabofu na Prof Mlacha. Kila mwanaUDOM alishuhudia na nyie mlikuwa hamjifichi udini wenu. Ni mpango wa Mungu wale watu hawakuendelea sana maana mngejitangazia himaya yenu (Islamic State of UDOM). Misikiti na Makanisa iwe nje ya katikati ya eneo la...
Maantiki ya kutaka kujua mlipaji wa gharama ni nini? Hujanionyesha kwamba TL mwenyewe hawezi kujigharamia so why nianze kutafuta mtu wa pili kama wa kwanza yaani mhusika hajathibitishwa kwamba hawezi kujigharamia? Pia ni kuwaza kimaskini kwamba kila msaada una masharti mabaya
katika vita (war) kunakuwaga na mapambano (battles). Vita moja inaweza kuwa na battles hata 15. ni nadra kushinda battles zote. zingine utapigwa japo utashinda war. Jamaa anataka kila battle ashinde. Ni ngumu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.