kwakua umeamua kuonana na mtu ambae huku mpenda kamwe huwezi kusahau penzi la yule uliykuwa umempenda suluhisho lilipo kamwe usioe/olewa na mtu ambae moyo wako haujaridhika jamani kwenye ndoa kuna mambo mengi na kubwa linalobeba hayo makorokocho yanayotokea ni jinsi mliivyopendana tangu siku ya...
Habari ya mchana huu wanajamvi,,
Ni miezi sita sasa tangu tuachane mimi na yy kwa madai kwamba ndugu zake hawajaridhika awe na mimi maishani ...cha ajabu ni mwezi sasa tangu aanze kunifata na kuniambia bado ananipenda sana na huko anakotaka kuoa moyo wake hauko huko ila ni shinikizo la...
pole sana ndugu yangu ndo maisha yalivyo,mapenzi yanatesa kuliko kitu chochote unajikuta huwezi kufanya kitu yamenikuta hata mimi najua hali uliyonayo pole
Huo ni utumwa kabisa,mtu ulishaachana nae unakutana nae eti mnakumbushiana ili iweje sasa?kwanini mlishindwa kuwa pamoja basi kwenye maisha kama mliona kila mmoja hawezi kumsahau mwenzie?
Habar ya wakti huu wanajamvi,
naombeni mnipe njia za kumsahau mtu mloachana ukiwa bado unampenda coz naumia kupita kiasi jamani najitahidi kila namna nimsahau lakini wapi tuna mwezi na nusu sasa tangu tuachane
Asante sana keroro nimekuelewa ni kweli nilishawahi kupost issue kama hii muhusika ni mimi mwenyewe na inaniuma sana tu kumpoteza mpenzi wangu niliempenda na kumzoea mno.ila ndo sina namna kwa kuwa nikweli kuingia katika familia ambayo ndugu hawajakupenda ni kitu kibaya sana kwakuwa maisha si ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.