Hata mi nimekubali Waziri Mkuu wetu kweli ni Mkulima namuunga mkono kwani tuko wengi hata mi najivunia hilo kwa wazazi wangu ni wakulima wakubwa tangu kitambo sana
Ni kweli hawa wachina watasaidia kwa kiasi fulani gharama za Dstv ziko juu hata mimi niliwapigia simu wakanipa maelezo lakini tofauti iliyopo mbona wanasema bei zimetofautiana kwa baadhi ya maeneo? kwani kunamaeneo mengine inaanza 120,000/= mpaka 170,000/= kwa hapahapa jijini minafikiri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.