Binafsi nakushauri tumia Ips kwa sababu ziko very flexible in all pressures,PPR zina limit za presha,pia PPR zina shida kwenye maungio fundi akijichanganya kwenye kuunga utajua hujui.,..
N.B nasupply hzo kitu, uliza Bei nikupe mwongozo
Jamani muwe mnasoma na kuelewa kabla ya kujionesha mlivokuwa namna gani vichwani.....hebu Rudia tena kusoma mpaka paragraph ya mwisho,usipoelewa njoo PM nikufundishe tuition
Msikilize akitangaza gemu ya South Africa vs Mexico ,Tshiphiwe Tshabalala akitandika mkwaju wa goli la kwanza, utasikia Tshabalalaaaaaaaa ,goal goal for South Africa, goal for bafana bafana ,goal for all Africaaaa, jabulilaaa ,rejoice........Mwenyewe anakili kwamba this is his best commentary ever
Jamaa alihojiwa akalalama sana sema ni professional yule hakulalamika kiswahiliswahili,alisema anahisi pambano lilikuwa la upande mmoja itabidi apate muda aangalie kama ni kweli zile ngumi alizokuwa anarushiwa kama zilikuwa zinamfika maana alikuwa anazikwepa
Ahahahha kwa kweli hakuna kabila linaloogopesha kama wahaya, Jitu ukiwa nalo Kwenye argument au discussion yeyote, likijua we ni mhaya ghafla linanywea.......hahahah
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.