Hata posho na gharama za ziara hiyo huenda wanalipwa kutoka hazina/ikulu. Ccm wamekamatika na hiyo ni dalili ya kwamba chama hicho kimepoteza mvuto ndio maana wanafanya siasa kwa mgongo wa serikali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.