Habari zenu Wakuu.
Husika na kichwa cha habari hapo juu. Nahitaji kuku aina Chotara majike yanayokaribia kutaga idadi 10. Nataka kuanza ufugaji. Kwa yeyote anayeuza tafadhali aniPM na bei tufanye biashara. Mimi nipo Dar.
Nauza Noah Field Tourer. Ipo katika hali nzuri sana.
Specifications:
1. Make : Toyota
2. Model:Townace Noah Field Tourer
3. Eng Cap : 1998 cc
4. Odometer : 190,000
5. Year of Manuf : 1998
6. Price/Bei : 9,000,000 Maongezi kidogo yapo.
7. Location/Ilipo : Kigamboni.
8. Contacts/Mawasiliano ...
Haloo wakubwa.
Nauza Suzuki Carry kwa milioni tano tu (5m). Ipo Dar ukitaka kuiona muda wowote nitafute kwa no 0687702626. Ipo Kigamboni. Sababu ya kuuza nimeshindwana na madereva.
Odometer : 135,000.
No T 425 CVV.
Wakuu kama kuna dalali yeyote wa Nyumba maeneo ya Kigamboni naomba tuwasiliane nahitaji nyumba ya vyumba 2 fence na vitu vingine kama tiles nk niPM.Bajeti laki tatu kwa miezi sita.
Wakuu nauza kiwanja changu kipo kigamboni Mwembe Mtengu vipimo ni kama ifuatavyo kusini mita 18, Magharibi mita 22, Kaskazini mita 24 na Mashariki mita 22. Kuna tofali za mashine idadi 4475 kwa vyote na kiwa nja ni Tshs milioni 11 bila tofali ni 7 milioni Karibuni. Hati ya serikali ya mtaa...
Nauza Carry yangu kwa 5.5 milioni. Hakuna maongezi.
Reasons : Nimeshindwana na madereva.
Odometer: Angalia kwenye picha hapo chini.
Drive: 2 Wheel Drive.
Condition: Nzuri imeingia mwaka jana mwezi wa nne.
0687702626.
Nauza Suzuki Carry yangu ipo katika hali nzuri kabisa nimeshindwana na madereva.
Details:
Make: Suzuki
Model: Carry.
Engine Capacity: cc650.
Km :135001.
Bei : Tshs 6 Milioni haipungui.
Karibuni kwa wahitaji mni PM.
0687702626.
Habari wadau. Nahitaji kununua kiwanja Dar katika maeneo yafuatayo, kigamboni nje ya eneo la mradi,mmbande,mbagala,toa ngoma, gezaulole, sala sala, madale bajeti yangu ni 5m. Mwenye nacho aniPM tufanye biashara. Kisizidi hiyo bajeti tafadhali.
Habari za muda huu wakuu. Nna bajeti ya 300000 laki tatu nahitaji Samsung Galaxy S4 sio Clone isiwe imechoka sana wakubwa. Mchana mwema. PM tu kama unayo.
Waungwana nataka kuanza ujasiriamali kwa kufungua duka la nguo. Kwakuwa mtaji wangu si mkubwa kuniwezesha kufuata mzigo nje ya nchi naomba kama kuna watu wanaagiza mzigo toka nje na kuuza kwa bei ya jumla tuwasiliane tuweze kufanya biashara.
Natanguliza shukrani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.