Anaitwa siwale Stanley Mwachali (mustach) alikuwa anakaa Sakina White Rose, ni dalali wa nyumba viwanja na mashamba, huko Sakina kahama baada ya kutapeli vya kutosha.
Ni mtu wa Iringa mzaliwa wa Mpwapwa Dodoma yupo hapa mjini Lakini anajificha kwa wanawake, atakayesaidia kumpata zawadi nono...
akiongea kwa mbwembwe andrew chenge alijiita ni nyoka wa makengeza na huwa halazi damu mbele ya fursa za kutoka kama wanavyoita vijana siku hizi.
naomba nimuulize huko kwenye katiba pandikizi hujaweka huko fursa zako?uwe wazi ili tarehe ya kupiga kura tuihukumu kwa haki.
Rais-joseph sinde warioba.
Makamu wa kwanza-maalim seif sharif hamad.
Rais wa zanzibar-salim ahmed salim.
Waziri mkuu-wilbrod peter slaa.
Waziri wa mambo ya ndani-freeman mbowe.
Waziri wa elimu-james mbatia.
Waziri wa uchumi na fedha-ibrahim haruna lipumba.
Waziri wa katiba na sheria-hamfrey...
Toka mwanzo Waziri anayesimamia Wizara ya Katiba na sheria walishasema Tanzania haihitaji katiba mpya na wala haina hela, kitakachofuatia katika aibu hii ya kutopatikana katiba mpya chini ya Jakaya Mrisho Kikwete ni hiki.
Ni sawa na dereva ambaye hakuwa na mpango wa safari mpya ya umbali mrefu...
Wadau kwa mujibu wa sheria bunge maalum la katiba halijaanza kwa hiyo wananchi muwe na subira.hapa wanajitengenezea kanuni na hata kama zitatumika siku 70 tena.
Mh rais wa jamhuru ya muungano ya tanzania nikiwa kama mtanzania ninalo jukumu na deni kwa nchi yangu na watu wake kushiriki kwa namna moja au nyingine kushiriki katika mchakato unaoendelea nchini mwetu wa kupata katiba mpya,nikupongrze kwa uamuzi wako uliouchukua wa kulikubali wazo la kuanzisha...
Kesho ni tar 5 mwezi wa pili ambayo ndiyo siku kamili ya kuzaliwa chama cha mapinduzi.
Tunawakaribisha wazalendo wote washiriki katika maadhimisho hayo,hakutakuwa na sare za chama chochote ila uzalendo wako tu.pia tutakuwa tunaomboleza vifo vya wazalendo wenzetu ambao hawakuwahi kuvaa mavazi ya...
Wadau nilikuwa namsikiliza nape akitangaza kuhamisha sherehe za kuzaliwa kwa ccm kutoka tar 5 kurudi 2 ili kuwapa watu muda wa kuhudhuria.tujadili kwa pamoja kuna shida mahali nimeiona.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.