Search results

  1. Ringo Edmund

    Arusha nisaidieni kumpata huyu tapeli

    Anaitwa siwale Stanley Mwachali (mustach) alikuwa anakaa Sakina White Rose, ni dalali wa nyumba viwanja na mashamba, huko Sakina kahama baada ya kutapeli vya kutosha. Ni mtu wa Iringa mzaliwa wa Mpwapwa Dodoma yupo hapa mjini Lakini anajificha kwa wanawake, atakayesaidia kumpata zawadi nono...
  2. Ringo Edmund

    Suzuki escudo inauzwa arusha.

    Suzuki escudo. mwaka 1993. manual cc 1590 km 265000 bei 6.8 0653533784
  3. Ringo Edmund

    nyoka wa makengeza huko kwenye katiba pandikizi umeona fursa?

    akiongea kwa mbwembwe andrew chenge alijiita ni nyoka wa makengeza na huwa halazi damu mbele ya fursa za kutoka kama wanavyoita vijana siku hizi. naomba nimuulize huko kwenye katiba pandikizi hujaweka huko fursa zako?uwe wazi ili tarehe ya kupiga kura tuihukumu kwa haki.
  4. Ringo Edmund

    Timu mimi urais 2015.

    Rais-joseph sinde warioba. Makamu wa kwanza-maalim seif sharif hamad. Rais wa zanzibar-salim ahmed salim. Waziri mkuu-wilbrod peter slaa. Waziri wa mambo ya ndani-freeman mbowe. Waziri wa elimu-james mbatia. Waziri wa uchumi na fedha-ibrahim haruna lipumba. Waziri wa katiba na sheria-hamfrey...
  5. Ringo Edmund

    usipoyanywa utayaogea.

  6. Ringo Edmund

    Kikwete umekosea sana kusafiri na wasiotaka safari

    Toka mwanzo Waziri anayesimamia Wizara ya Katiba na sheria walishasema Tanzania haihitaji katiba mpya na wala haina hela, kitakachofuatia katika aibu hii ya kutopatikana katiba mpya chini ya Jakaya Mrisho Kikwete ni hiki. Ni sawa na dereva ambaye hakuwa na mpango wa safari mpya ya umbali mrefu...
  7. Ringo Edmund

    Nauza pikipiki honda 125 xl.ni kama mpya.

    Mwenye kuihitaji apige cm 0783736379,0754533784. Ipo arusha
  8. Ringo Edmund

    Weekend ya utafiti ilikuwa hivi.

  9. Ringo Edmund

    Photocopy machine inauzwa bei po arusha tuwasiliane.

    Canon ir 1600. Piga 0655736379.
  10. Ringo Edmund

    Laptop inauzwa bei fresh arusha.

    Dell latitude e 5400,ram 2 gb,pro core 2 dual 2.00ghz. Piga 0655736379.
  11. Ringo Edmund

    Bunge la katiba halijaanza.

    Wadau kwa mujibu wa sheria bunge maalum la katiba halijaanza kwa hiyo wananchi muwe na subira.hapa wanajitengenezea kanuni na hata kama zitatumika siku 70 tena.
  12. Ringo Edmund

    wapemba na mawakili.

    nasikia wapemba hataki mawakili katika kesi yoyte,sikia mpemba anavyomlalamikia wakili. jitu limekwiba mchana kweupe,ali kaona,hasan kaona sasa linakuja jitu jengine linasimama linasema hakweba. ujingagani huu?
  13. Ringo Edmund

    Huu ndio ukweli mchungu kuhusu katiba mpya, mh rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

    Mh rais wa jamhuru ya muungano ya tanzania nikiwa kama mtanzania ninalo jukumu na deni kwa nchi yangu na watu wake kushiriki kwa namna moja au nyingine kushiriki katika mchakato unaoendelea nchini mwetu wa kupata katiba mpya,nikupongrze kwa uamuzi wako uliouchukua wa kulikubali wazo la kuanzisha...
  14. Ringo Edmund

    Huyu mnyama anaitwaje jamani?

    nimempenda lakini sijui jina lake.
  15. Ringo Edmund

    Kesho ni kumbukumbu ya kuzaliwa kwa CCM karibuni wazalendo

    Kesho ni tar 5 mwezi wa pili ambayo ndiyo siku kamili ya kuzaliwa chama cha mapinduzi. Tunawakaribisha wazalendo wote washiriki katika maadhimisho hayo,hakutakuwa na sare za chama chochote ila uzalendo wako tu.pia tutakuwa tunaomboleza vifo vya wazalendo wenzetu ambao hawakuwahi kuvaa mavazi ya...
  16. Ringo Edmund

    Wakandarasi wa kihaya njooni huku

    Hili jengo nimelikuta bukoba mjini naomba wahaya waniambie wanavyotumia milango ya ghorofani.
  17. Ringo Edmund

    CCM kuhamisha happy birthday ni dalili ya nini?

    Wadau nilikuwa namsikiliza nape akitangaza kuhamisha sherehe za kuzaliwa kwa ccm kutoka tar 5 kurudi 2 ili kuwapa watu muda wa kuhudhuria.tujadili kwa pamoja kuna shida mahali nimeiona.
Back
Top Bottom