Mbowe Karibu sana, katika hii Forum.
Kuna watu humu wamekuwa wakitoa masomo mazuri na ya maana kwa taifa letu na pia ushauri mzuri TENA WA BURE KWA VIONGOZI WA UPINZANI KAMA WEWE KWA KUWA NYIE MNA JUKWAA.
KARIBU SANA UJIFUNZE TOKA KWETU NASI TOKA KWAKO. hONGERA SANA KWA KUAMUA KUNOA...
Mzee Es, hata mimi ninamheshimu sana huyu Mzee Mkono!
Lakini hadi sasa hainingii akilini kwani ameamua kujiingiza katika hii kesi!
ITAMUMALIZA KISIASA, NA GRAPH YA HESHIMA YAKE INAWEZA POROMOKA VIBAYA SANA!
MAUAJI YA WAZI YALIYOFANYWA NA DITO NI YA KUTETEA KWELI. NINAKUBALIANA NA WEWE...
Lowassa jitume kabisa!
Huko Nyamongo tunasikia naibu waziri wa madini wa wakati huo(Masha) alitoa vibali kwa barrick ili wawanyangánye wanach ardhi!!
Barrick walishindwa kukubaliana na wanachi juu ya malipo ya ardhi yao. baada ya kuona hivyo hao barrick waliwasiliana na Wizara husika na hapo...
Ugandan rebels in Congo are: the Lords Resistance Army (LRA), the Allied Democratic Forces (ADF), the Peoples Redemption Army (PRA) and remnants of the West Nile Bank Front (WNBF). These groups are trying to team up to form an umbrella body to be based in Ituri district.
The fact that the...
Someni kwa wale wenye intereste na siasa za maziwa makuu.
http://www.newvision.co.ug/D/8/459/534656
Post-election DRC: The Uganda-Rwanda dilemma
Monday, 27th November, 2006
E-mail article E-mail article Print article Print article
WON POLLS: Joseph Kabila
WON POLLS: Joseph...
Majambazi makubwa baada ya kuona watanzania wanapiga kelele sana kuhusu ujambazi wa IPTL!!
Ikabidi majambazi wakae chini na kusema inabidi sasa tutoke na Richayamondi!!
ili aipil ife!
inauma!!
http://www.mwananchi.co.tz/mwananchisite/Mwananchi/Habari/Habari3.asp
Serikali yafunga mgodi wa dhahabu Musoma
Na Mathias Marwa, Musoma
SERIKALI imesitisha shughuli za uzalishaji wa dhahabu kwenye mgodi wa Buhemba Gold Mine (BGM) katika Kata ya Buhemba, Wilaya ya Musoma Vijijini...
http://www.mwananchi.co.tz/mwananchisite/Mwananchi/Habari/Habari3.asp
Serikali yafunga mgodi wa dhahabu Musoma
Na Mathias Marwa, Musoma
SERIKALI imesitisha shughuli za uzalishaji wa dhahabu kwenye mgodi wa Buhemba Gold Mine (BGM) katika Kata ya Buhemba, Wilaya ya Musoma Vijijini...
Akina sumaye na rafiki yake BMW hata kama hatawafungulia kesi hivi karibuni, iko siku tu watanzania wataamuka tu!
Kama mnasema madini yameisha yameenda wapi, na tumeisha sikia kuwa ndege zilukuwa zinatua zinachota na kuondoka!!!!!
hivi ubinafsi huu utaisha lini...
sipendi kuendeleza malumbano na wewe quartz.
KAMA UNASEMA MADREVA WANAVUNJA SHERIA HATA MIMI NINAKUBALIANA NA WEWE KWA HILO TENA WANAUDHI SANA!!
SASA NI NANI WA KUWABANA HAWA MADREVA! UNANATAKA KUITETEA SERKALI KUWA INAWABANA????!!
BYE!
Sheria za barabari hazifuatwi kwa sababu wamiliki wengi ni viongozi! Iliwahi kusemekana wenye daladala wengi ni viongozi hata hasa awamu iliyopita.
Mdreva wanakuwa na kiburi kwa sababu anajua kwa mfano gari ni la RPC, au la waziri wa sheria kwa mfano!
serikali iwe makini na iwabane waendesha...
quart acha upuzi wako we!
sis tumepotelewa na ndugu yetu wewe unakuja na msalahi ya kipuuzi.
Tunathamini gari kuliko maisha ya mtu!
Pia sheria zipo kama serkali yenyewe imeshindwa kuwabana madreva wakorofi na wahuni, ni nani wa kulaumiwa kutokana na ajari ni serikali kushindwa kazi au...
Kitendo cha Uganda Somalia pamoja na Iran, Yemen, Libya etc kusemwa na UN kuwa inashiriki katika kuchagiza vita vya somalia NI MATOKEO YA KUJIUNGA NA OIC???
Haya sasa ngoja kwetu wsng wafanye jitihada za kutaka kujiunga na OIC!
Ninaomba kuuliza hivi tanzania ina sheria mbili moja ya viongozi na ya pili ya watu wa KAWAIDA!!!
http://www.ippmedia.com/ipp/nipashe/2006/11/16/78483.html
Viongozi hasa wa CCM acheni ulevi wa madaraka utatupeleka pabaya!
Jirekebisheni jamani, msijisahau, wananchi wakiwageuka mtakuwa...
zanzibar iachwe iungane na OIC iili kelele zipungue maana.
Maana mkombozi wao wanaona ni OIC!
Mimi ukiniuliza kuhusu muungano, nitasema zanzibar iachwe iwe nchi kamili. Na Tanganyika izaliwe tena na tusiwe na serikali ya tatu!
Wapemba/zanzibar wote walioko Tanga na Dar nk warudishwe...
kwanza hii mada ya ni sawa na ile ya nyumba zserikali kurudishwa ipo. lakini tunafungua mada nyingi zinazofanya. Hii inakuwa ngumu kuweka data pamoja.
Ningekuwa adimin. Ningeunganisha mada nyingi sana humu! na kuwa na chache but clear and having the same message...
wanamtandao hata humu wamo wanampiga vita sana!
Lakini ya kwao hayasemwi!!
Tunaelekea wapi? Mnadhani wote ni wajinga humu?kuwa mnaweza kutudanganya kama watoto?.
Nyumba zirudishwe zote hizo za ndugu zake na zenu mlizonunua au walizonunua ndugu zenu.
Mzee ES, hata mimi hainingii akili mwangu eti JK ana hisa katika hilo kampuni! Ili iweje?
kama ni hela JK sasa anazo itakuwaje awe na tamaa ya aina hiyo. Na kama ni kweli basi dunia hii kweli imekwisha!
watoto wake wame mfano wa kigwa wapate mali zao kwa uhalali. Wana shida gani ya kuanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.