Labda post za taarifa huko twirani na IG’ni zimekataa ‘kwenda’ kwamba bando limekata.
‘Wananchi’ tukiwaambia waboreshe huduma za net na gharama nafuu wanakaza shingo.
Unanikumbusha wife wangu siku moja eti amevimba baada ya kuona kwny simu nimemsave mamake (mama mkwe wangu) jina lake halisi, aka-mind eti nikaona ufala huu duh niliishia tu kutikisa kichwa [emoji23][emoji23]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.