Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa amesema Tanzania imeshika nafasi ya kwanza barani Afrika kwa kufanikiwa kusambaza umeme nchini kote kwa asilimia 80.
Mhe. Majaliwa aliyasema hayo wakati akielezea mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Tano kwenye mkutano wa...
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)
Agosti 10, 2020
TAARIFA YA MABORESHO YA NJIA ZA UMEME WILAYA YA MBAGALA
Shirika la Umeme Tanzania(TANESCO) linawataarifu Wateja wake wa Wilaya ya Mbagala kuwa kutakuwa na matengenezo ya kuhamisha njia za umeme katika kituo cha kupoza umeme cha Mbagala na...
*SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)*
*TAARIFA YA KATIZO LA UMEME MTWARA*
*07/08/2020*
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu Wateja wake wa Mkoa wa Mtwara kuwa, kutakuwa na katizo la umeme siku ya Jumapili Agosti 09, 2020 kuanzia saa 3:00 asubuhi hadi saa 9:00 alasiri.
*Sababu:-*...
Lipigie kura Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuweza kushinda kipengele cha *Best Government page of the year* kwa mwaka 2020.
Cha kufanya;
1. Fungua hiyo link utakutana na neno Vote chini kabisa ya ukurasa
2. Utakutana na Vipengele vitatu yani *Award Category*, *Sub Category * na...
TAARIFA KWA UMMA:
FEBRUARI 15, 2020
TAARIFA YA TAHADHARI KWA WANANCHI WANAOISHI PEMBEZONI MWA MKONDO WA MAJI YATOKAYO KWENYE VYANZO VYA KUFUA UMEME KWA MAJI VYA MTERA NA KIDATU
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linatoa taarifa kuwa kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha bwawa la Mtera...
TAARIFA KWA UMMA
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linakanusha vikali taarifa inayo sambaa katika mitandao ya kijamii kuwa kutakuwa na tatizo katika mfumo wa manunuzi ya LUKU kuanzia tarehe 25 Machi 2018 hadi 05 Aprili 2018 , kwamba wateja wanunue umeme wa kutosha katika kipindi...
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)
TAARIFA YA KUKATIKA KWA UMEME KATIKA MIKOA ILIYOUNGWA KATIKA GRID YA TAIFA
Tunawataarifu Wateja wetu na Wananchi kwa ujumla kuwa, majira ya saa 8:49 Usiku kumetokea hitilafu katika mfumo wa Grid ya Taifa. Hitilafu iliyopelekea kukosekana kwa huduma ya umeme...
TANESCO
Tunaomba radhi wateja wetu
Imetokea hitilafu gridi ya taifa na kusababisha umeme eneo lote la Dar es Salaam na baadhi ya mikoa kukosa umeme.
Tatizo hili linashughulikiwa na umeme utarudi baada ya muda mfupi
=======
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)
TAARIFA YA KUTOKEA KWA HITILAFU...
TANZANIA ELECTRIC SUPPLY COMPANY LIMITED
Background – TANESCO http://www.tanesco.co.tz
The Tanzania Electric Supply Company (TANESCO) is focusing on increasing the outreach and service quality of its Energy products for Tanzanian people. Next to its current passion as a leading provider of...
Tanzania Electric Supply Company is focusing on increasing the outreach and service quality of its Energy products for Tanzanians. Next to its current passion as a leading provider of electricity is to be more efficient, customer focused utility for Tanzania and beyond. The Company has the...
The Tanzania Electric Supply Company (TANESCO) is focusing on increasing the outreach and service quality of its Energy products for Tanzanian people. Next to its current passion as a leading provider of electricity is to be more efficient customer focused utility for Tanzania and beyond. The...
ELECTRICAL TECHNICIANS - 7 POSTS
REPORTS TO: ENGINEER
REPORTING OFFICE: KILIMANJARO, ARUSHA, AND MANYARA
KEY KNOWLEDGE, EXPERIENCE AND SKILLS REQUIRED FOR THE JOB
Holder of Ordinary Diploma in Electrical Engineering from a recognized institution with Secondary School education.
Senior Zonal...
SHIRIKA la Umeme Tanzania, (TANESCO), limewaomba Wateja wake na Wananchi kwa ujumla kutoa taarifa mapema mara inapotokea hitilafu ya umeme iliyosababishwa na mvua au sababu nyingine.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jijini Dar es Salaam Mei 11, 2017, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa...
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawaomba radhi Wateja wake wa Mikoa wa Tanga na Pemba kwa hitilafu ya umeme iliyotokea usiku wa Mei 08, 2017 Saa 5:13.
Hitilafu hiyo inatokana na nguzo kuanguka katika njia ya umeme ya Hale - Tanga ya Msongo wa Kilovolti 132 na kusababisha Kituo cha...
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linapenda kutoa tahadhari kwa wateja wake kuzingatia yafuatayo kipindi hiki cha mvua nyingi
1.Kutoa taarifa mapema mara inapotekea hitilafu yeyote kwenye miundombinu ya umeme kulikosababishwa na mvua au sababu nyingine.
2.Kutokukaa au kufanya shughuli...
HATUA YA KWANZA
MAOMBI YA MWANZO
Je mteja anaweza kuchukua fomu ofisi yeyote ya tanesco?
Mteja anaweza kuchukua fomu ya maombi ya umeme katika ofisi yeyote ya shirika bila kujali kuwa eneo hilo linahudumiwa na ofisi husika. Ila atapaswa kurudisha ofisi ya maeneo ambayo makazi yake yapo ili...
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Dkt. Tito E. Mwinuka kwa Niaba ya Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Wafanyakazi wa TANESCO, anamtakia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein na...
Wateja wetu wengi wamekuwa wakijiuliza iwapo wamefungiwa mita sahihi kutokana na matumizi yao ya umeme? Ama mita ambazo wamefungiwa ni za Viwandani na kulalamika wanatumia umeme mwingi zaidi tofauti na matumizi wanayotumia
Mita za LUKU zinazofungwa majumbani ni sahihi kwa matumizi ya nyumbani...
Kikosi kazi hicho kilizinduliwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan Mwezi Aprili Mwaka huu alipokuwa katika ziara Mkoani Iringa na kutembelea kituo cha kufua umeme kwa njia ya maji cha Mtera.
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Dk. Tito E. Mwinuka, alisema...
“LUKU ni aina ya mita zinazotumia mfumo rafiki kwa Mteja, zikitokana na Teknolojia mpya inayowezesha kuonekana kwa matumizi sahihi ya umeme yaani Lipa Umeme Kadiri Utumiavyo..”
Wakati Teknolojia hii inaanza hapa Nchini Mwaka 1995, Tanzania ilikuwa Nchi ya pili Barani Afrika kwa kutumia LUKU...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.