Search results

  1. kitalembwa

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Enzo hela nyingiii ushuzi kabisa na caisedo wake,,,,, mwendo wa kubanduliwa tu
  2. kitalembwa

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Timu nZIMA mirasta kichwani mabumunda
  3. kitalembwa

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Mavi kabisa
  4. kitalembwa

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Yule dem wa car wash kule mbweni vp ?? Alikucheki ?
  5. kitalembwa

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Nyie ni kama basikeli la kunolea visu, kelele nyingi lakini halisogei wala haliongezi mwendo ,,,, !
  6. kitalembwa

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Mm sina ubingwa msimu huu, nilishautema kitambo ,,, hujambo lakini mwanadada ?
  7. kitalembwa

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Ubingwa mtausikilizia mat*****ni
  8. kitalembwa

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Ubingwa mtausikilizia mat******ni
  9. kitalembwa

    Naomba mbinu (zisizo dhahiri sana) za kumfanya mwanaume akutongoze

    Mwambie amualike dinner waende sehemu nzuri wapate misosi ka wine kdg kuondoa aibu, mengine yatajipa on the sport
  10. kitalembwa

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Match day #GGMU
  11. kitalembwa

    Wadada wa siku hizi sielewi wanawezaje kuendesha biashara zao ndogo kwenye fremu za gharama kubwa

    Inawezekana pia ,,,, akishamfungulia biashara ana uhakika wa kum-monitor mda wote tofauti na akiwa kazini visingizio haviishi
  12. kitalembwa

    Wadada wa siku hizi sielewi wanawezaje kuendesha biashara zao ndogo kwenye fremu za gharama kubwa

    Yeah wapo wengi sana wanakomaaga wengine pumzi inakata wanarudisha frem ! !
  13. kitalembwa

    Imekuwaje sare za Mbio za Mwenge ziwekwe picha ya Rais Samia? Je, sare hizo zimenunuliwa kwa gharama ya nani?

    Tunamshukuru mh Raisi kwa kukubali picha yake iwekwe kwenye nguo/sare maalum za mwenge, aidha tunamuombea mh Raisi aendelee kuwa na moyo huo huo ! ccm mbele kwa mbele
  14. kitalembwa

    Wadada wa siku hizi sielewi wanawezaje kuendesha biashara zao ndogo kwenye fremu za gharama kubwa

    Hao wengi sana mkuu,,,, bar maids nk,,, ! Na anavaa vzr, nywele nzuri n.k ! Simu kali , then salary 80k ! Kituko kabisa
  15. kitalembwa

    Wadada wa siku hizi sielewi wanawezaje kuendesha biashara zao ndogo kwenye fremu za gharama kubwa

    Na wanaishi vzr pengine ka kagari na familia zina run fresh tu ! Ni kweli kuna namna ya pekee ikiwepo msingi kiuno
  16. kitalembwa

    Wadada wa siku hizi sielewi wanawezaje kuendesha biashara zao ndogo kwenye fremu za gharama kubwa

    Hatari aisee mtuambie hzo frem mnazilipiaje na biashara zinazongaje ? Nyingi hazina mtaji unaoeleweka na hakuna mzunguko kabisa
Back
Top Bottom