Hao wazee wawili wa Njombe, hawawezi kuwa ndo kipimo cha wana Njombe wote juu ya Mbunge wao. Nimekuwepo Njombe hali halisi ni kwamba kwa ujumla watu wanataka mabadiliko. Lakini mabadiliko thabiti yanahitaji maandalizi yaliyoratibiwa vilivyo. Kazi kubwa bado inahitajika kufanyika hususani...
Nimeulizwa swali hilo"kuongeza Nguvu za Kiume hasa ni nini kinacho lengwa?" Je,
i) Ni kuongeza uwezo wa kucheza round nyingi ktk mechi?
ii) Ni kuongeza uwezo wa kuhimili kwa muda mrefu ili kukamilisha raound ktk mechi?
iii) Ni kuongeza kiasi (volume) ya vitu vinavyokuwa discharged wakati wa...
Nampongeza JK kwa muundo wa baraza lake japo kuna sura moja (Sophia)kwa maoni yangu ingeachwa ili iendelee kuwajibika ktk maeneo mengine.
Nimeshindwa kuelewa Elimu ya Juu ipo chini ya wizara gani? msaada wana JF
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.