Na kukata kichwa Cha marehemu kupeleka ulaya kisa kawasumbua katika mipango yenu ya kumtawala na watu wake,ni ushetani usiosameheka,labda kwa wasio na akili wanaona sawa
Mkuu sijawahi kuchangia huu Uzi ni msomaji tu na pro east,nakuhakikishia wewe ni kama Mimi tu napenda ugomvi sana ila china Leo kazingua sana sijui atafanya Nini nimuelewe mbwa huyu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.