SAKATA LA YANGA NA AZAM MEDIA:HIKI NDICHO KILICHOJIRI KWENYE KIKAO KILICHOITISHWA NA SERIKALI
Nyeti za kikao kilichoitishwa jana na Naibu waziri wa habari vijana utamaduni na michezo Amos Makalla kujadili mkataba wa Azam Media kuonesha mechi za ligi kuu ambao umegomewa na Yanga zimevuja...
(...)
When you start your computer, does Windows 7 ask for a password? It should. If not, you need to create a password as soon as possible.
Not having a Windows 7 password is a big security concern. Without a password, anyone in your home or office has full and unrestricted access to...
wanzanzibari wanao ishi tanganyika hawataki kuzungumzia swala la kuvunja muuungano kwa sababu muungano unawanufaisha wao.lakini wanao ishi zanzibar wanajifanya hawalijui hilo.
Sasa nibora tuvunje ili tuwatimue wakajadiliane vizuri
ILI waharakishe kuondoka inabidi tuwabige bakora kwani waliokuwepo tanganyika hawataki kuondoka huku wanasema wakienda kule wata rongwa na kibiashara ita kuwa ngumu kwani wanzanzibari ni wachache kwahiyo biasha zitakosa wateja. wengine wanasema walikuwepo tanganyika wanamaendeleo hivyo...
Hivi huyu anaye kula chakula hiki ukimpa utendaji wakijiji si kila mwanamke atakuwa wake.maana hapo anafundishwa kuvimbiwa kwahiyo atavimbiwa kwenyekila kitu
Watanganyika hawa wazanzibari wakiongozwa na viongozi wao wanawanyanya sana watanganyika huko zanzbaa, yani inakuwa rahisi kuishi kenya kuliko kuishi zanzbar hapa najumuisha ya ni kwa dini zote . wakikujua unatoka tanganyika tu wanaanza kukita machogo hao vurugu kidogo wanachoma mali zako...
Unatakiwa uwemwepesi wa kuelewa nyie mnalalamikia muungano kwamba hauna faida kwennu au kwako,mwanakijiji kawapeni njia ya kuupigia kulra ya maoni kama mlivyo fanya juu ya muundo wa serikali yanu sasa una lalamika nini.Mimi binafsi siitaji hata serikali tatu nyie niwashari bora mwende na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.