Kwema wana jamvini.
Nimelima miwa ya sukari kampuni niliyokuwa naitegemea wameyumba kibiashara. Naombeni msaada kwa mwenye connection na kampuni au viwanda vinavyozalisha sukari hapa Tanzania nijaribu bahati yangu.
Wa jamvini habarini jaman naomba kuuliza hivi taratibu za mama mjamzito zimebadilika nasikia siku hizi wanatakiwa kwenda na khanga mpya kwa ajili ya mtoto pekee zisipungue pair 5 pempams pamoja na nguo mpya zisipungue pair 3 je no kweli jaman
Kwema wana jamvini
Mh. Kariuki sheria haiko general kiasi hicho na imekusudiwa isiwe hivyo sababu miaya ya makosa na ingekuwa mingi kama ilivyotaka kuwa.
Kwa mfano wakuu wa mikoa wilaya na kadhalika je ni viongozi wa kisiasa au kiserekali? Jibu la moja kwa moja lipo kwenye uteuzi wao...
Wanajamvini wenzangu inashangaza sana na kustaajibisha pale mmoja wa mhimili wa serekali hafanyi au kutekeleza kile ambacho raisi wa nchi anasisitiza swala la ulipaji kodi na utolewaji wa risiti Halali za TRA.
Traffic kanda ya kaskazini haswa Arusha na Moshi wao wamekuwa wakitoza faini bila...
wana jamvini habarini za saa hizi jaman na mdogo wangu kamaliza la saba cjui kapangiwa shule gani yeyote mwenyewe link ya matokeo/ selection hizo tafadhali naomba nitumie au nielekeze nijue mapema kipi nifanye
Asanteni
Wajamvini mimi nataka kujua kwanini siku hizi swala la sex limekuwa kama ni sehemu ya awali au tendo tangulizi kabla ya ndoa sababu kubwa inaweza ikawa nini?
Naombeni michango yenu.
Hivi izi timu zetu za ki-Africa zina shida gani jaman kwa mfano Nigeria wameshindwaje kuwa funga Iran jaman huku sikupeana maudhi aisee au nyie ndugu zangu mwaonaje
Katika uongozi haswa nafasi ya juu ya ukuu wa nchi muongozaji wa nchi kwa maana ya raisi huwa na mamlaka makubwa sana ila zaidi na zaidi mamlaka hayo ugawanyika katika sehemu kuu mbili mbazo ni HEAD OF STATE na HEAD OF GOVERNMENT.
Swali langu kwa wanaojua ndugu yetu raisi wa Muungano wa...
Katika pita pita yangu kwenye website mbali mbali za serekali nilikuta vigezo vinavyoitajika kwa mtu kuweza kujiunga na jeshi la wananchi wa tanzania ambazo ni
Askari
Mtu yeyote ataandikishwa kujiunga na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwa sifa zifuatazo: -
Awe raia wa Tanzania...
hello mambo .... nipo humu kwa ajili ya kuchat na kutafuta marafiki wa ina yeyote ile kwa ajili ya chat na kubadilishana mawazo wale ambao wapo interested just add me plz
nilikuwa nasoma katiba siku chache zilizopita ili hali kutafuta kipengele kinachosema migomo au mgomo ni haki ya mwananchi wa Tanzania sasa cjui ni overlook as hicho kipengele sikukiona instead niliona kimoja kilichosema right to assemble ambapo tafsiri yake kwa haraka haraka naweza sema ni haki...
Law school ya Tanzania ya tia fora mwaka huu baada ya kuchagua wanafunzi wengi zaidi kuliko miaka iliyopita kama ilivyokuwa ada huko miaka ya nyuma. Ni leo jioni majina ya wanafunzia waliochaguliwa na chuo hicho yametolewa katika mfululizo wa batch 3, ya kwanza ikiwa inaingia mwezi april ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.