Nunua tank hata lita 1000, efadhi maji humo, so hiyo mashine yako ya kuosha itachukua maji kutoka kwenye tank ,, kuhusu pump itakubidi upige hesabu kutoka chini ya kisima hadi kwenye tank ni mita ngapi, mfano hapo umesema kisima ni mita 35, so tuseme kutoka kwenye kisima hadi kwenye tank ni mita...
hizo ukubwa wa hp sio suruhisho hizo pump zote zinaonyesha maximum head ni ndogo kuliko urefu wa kisima, mfano hiyo shemge max head naona imendikwa kama 32 hivi, sasa haiwezi kupeleka maji kwa pressure, badilisha pump
Bei ya hizi solar pump inategemea na urefu wa kisima;
0.5 hp , maximum mita 44. Bei ni 1.2M
0.75 hp, maximum mita 65. Bei 1.6 M
1 hp, maximum mita 80,bei 1.8 M
1.5 hp, maximum mita 120, bei 2.2 M
Pump zinakuja na control box yake na solar panels zake.
Karibuni dukani , Gerezani KARIAKOO, mtaa wa...
Keko bora na Mbagara Sabasaba.
Unalindaje unyeti wa mawasiliano ya mteja wa mtu, maana wakurugenzi mnawazunguka sana marketia wenu baada ya kupata contact za mteja,,
Hamna mkuu, tunaelekezana tu, unajua kuna muda fundi anaweza kukupa concept kutokana na mazingira au kutengeneza faida kwake, so kila kitu kina condition zake, ndomana kule shuleni tukisoma physics tuambiwa other factors remain constant..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.