Mkuu naomba kufahamu kuhusu manunuzi kwanjia ya mtandao ktk mambo haya:-
1.Kuhusu kodi, TRA.
2. Mzigo naupataje Kama ni mtu wa mkoani ( kwa jumla na reja reja)
Acha mawazo finyu wew! polepole hatetei chama bali anatetea maslahi ya Taifa. Ndio maana watu kama ninyi mnajumuishwa katika ile asilimia 95% ya watanzania wasio jali ufisadi kama alivyo sema msigwa. Jamaa katutukana kabisa watanzania, eti ooh tumemleta lowassa ili tupate ushindi maana tumeona...
Jama hivi Chadema nichama cha watu wenye majungu na lawama sana eenhe? Nalishuhudia anguko kuu la chadema. Hiki chama kitakua imara endapo tu, uongozi wa juu ukibadirishwa.
Jamani wanajamii kuna kaka yangu anasumbuliwa sana na mke wake na anachohitaji yeye ni mume wake ndiye aende mahakamani na kuhitaji kutoa taraka ili apewe masharti magumu iwe faida kwake. Kitu kingine ni kwamba imefikia hatua ameficha hadi vyeti vya kazi. Na sasa anamwambia yuko radhi kumdhuru...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.