Mzee Es....
wengine tupo bado na timu zetu zile zile za zamani,unakumbuka zama za MALINDI SPORST CLUB ya zenji? tulimifanya nn PAMBA YA MWANZA kule CCM KIRUMBA?hahahahaha na kutwaa ubingwa wa MUUNGANO? enzi zile lkn pamab ilikuwa inatisha sana akina fumo felician,khalfan ngassa etc...
mungu ampe uzima wake,sisi waumini wa kiislamu tunaamini kuwa unapoumwa basi allah( s.w) anakuwa anakusafisha na madhambi yako,lkn zaidi tunaamini kuwa ukiwa mgonjwa basi mungu anakupenda zaidi anakuletea maradhi anataka umkumbuke na yy manake ukiumwa lazima utakuwa unamtaja mungu,so dada amina...
nungwi...
kaka maneno ulosema ni kweli kabisa hata na mie nakuunga mkono,data za ZITTO zinatosha tena ama vipi mkuu?mswahili ana data nyingi kali sana mie amenimaliza sana pale aliposema kuhusu issue ya znz univ na wale best students alowataja duh pale nimemvulia kofia muungwana mswahili...
mswahili......
duh mkuuu unatisha kwa data,mie mkuu naomba nikwambie yafuatayo....uliyosema yanatosha mkuu,mie naamini ww ni muislamu,na huyu mheshimiwa ZITTO na yy nimewahi kusikia kuwa ni muislam,mswahili turejee ktk maundisho yetu ya dini"ukimstiri muislam mwenzako na ww mungu...
mtumwitu.......
mie naona ipo haja ya CCM kuanza kubadilisha katiba ili angalau rais awe anakaa miaka 7 badala ya mitano,kuhusu suala la znz mie naona kuepusha majungu,mizozo na mvutano bora RAIS KARUME aendelee na kipindi cha tatu.
naomba kutoa hoja!!!!!!!!
Jemba Jemba...
mkuu kama unayo original documents za MUUNGANO wa TZ na ZNZ hebu nitumie ktk PM.
Mtumwitu....
unatisha utafikiri maradhi ya KIFAFA mkuu kwa info zako,heshima mbele tuendelee kukata issue.
mtumwitu......
kazi kweli kweli ktk masuala ya MUUNGANO,lkn mie JK anaweza kulirekebisha hili suala na kupatikana MUAFAKA.
Dua.....
unajua ndugu tatizo kila mtu anaona anaonewa,wabara wanaona wao wanaonewa kwani wanaona wanaibeba znz,wa-znz na wao wanasema kama tunakuoneeni tuwaacheni...
jasusi.....
itawezekanaje kuwekeza pemba ilhali hakuna maji,umeme,barabara etc?hiyo ni ngumu ndugu yangu,maendeleo yanakuja haraka kutokana na kupatikana na huduma muhimu kama hizo.
JJ.......
leo nimepata nafasi ya kujibu baadhi ya hoja,majukumu ndugu yangu ya masomo yananifanya...
PM.....POINT NOTED and well understood,i reserve my comments.
hilo la presidential appointee duh asante kwa kunifungua macho itabidi na mie nijikaze nimalize master yangu hapa nirudi zenji insh huenda na mie ukasikia mkurugenzi au PS w/mawasiliano...hahahahahahahahahahhahaha
joka kuu...kwa...
mswahili....duh umesema maneno mazito wewe kuhusu issue ya chuo kikuu na waislam enzi za mwalimu nyerere,lkn nimekuwa najiuliza sisi znz tuliwaondoa waarabu 1964 almost 42 yrs leo hii lkn tupo nyuma kweli and almost 90% waislam,wizara zote zimeshikwa na waislam ukitoa ya mawasiliano(retr brigd...
JJ.....muungwana alivyoingia madarakani alikiri kuwa muungano una matatizo na amelifanyia kazi hilo suala ndio maana amemteua EL na bwana nahondha kukaa pamoja kuongelea hili suala,kuwa na subra ndugu yangu huenda muafaka ukapatikana.
mswahili.......
halafu tupatie na data za wanafunzi wa kitanzania wanaosoma nje ya nchi kwa skolaships specially zinazotoka serikalini waislam na wakristo,vipi pale ELIMU YA JUU?mkuu hiyo issue ya mwalimu JK wee acha tu,huwa najiuliza wakati wa Mwalimu akina malima,msabaha,etc sijui...
JJ/mtu mwitu.....
mada imefikia patamu kweli,omer sheha kuwa na mke wa kilimanjaro sio ajabu umesahau wabunge wa CUF walivyokuwa na wake wa kisomali wakawatorosha kwenda ujerumani kama wakimbizi? ilhali kule kwao macho4/KOJANI tayari wana familia zao,hiyo ni kawaida ndugu yangu as long...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.