Napenda kutoa uchambuzi wangu kwa watanzania nikiwasihi kutomchagua Jakaya Kikwete na kutoichagua CCM.Kuna sababu 16 zinazohalalisha watanzania kutomchagua Kikwete na CCM,nazo ni;
1.Embu kumbuka ilani ya CCM ilivyokuwa ya kisanii,2005 alisema atashughulikia mahakama ya KADHI wakati safari hii...
Kweli Kanumba hajui kingereza hiyo msikatae,unajua hata katika website yake ameandika Biography kwa kutumia kingereza cha kutafsiri neno moja moja toka kwenye kiswahili kwenda kingereza.
Muundo wa kingereza na kiswahili haufanani na ukiangalia tu utagundua hayo makosa.Masikini hajui kutumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.