Huyu Crashwise alikuwa akiandika ***** kama huu wakati wa uchaguzi wa Igunga. Anaonekana ni mtaalam wa kutunga story za kijinga ili asifiwe na magwanda. Hana ushahidi wa ****** alioweka hapa. Tumezoea usanii wako.
Si vizuri vilaza wanaoigiza uzalendo wakajilinganisha na Mwl Nyerere.
Nyerere ndiye mwasisi wa CCM.... Sera za majimbo za CDM zilipigwa vita na Nyerere tangu uhuru.
CDM msituletee umwagaji damu kama mlivyofanya Igunga. Amani mliyoikuta Meru iacheni.
Inaonekana mmeanza kutapatapa, ... na bado....jimbo la ARUMERU mtalisikia redioni kama ilivyokuwa kwa majimbo mengine ya Igunga na Uzini.
Ama kweli, CDM ni full shari.
Na wewe mkuu una roho ngumu kumtetea mtu kama Lema.
Ni output gani ametoa? kuhamasisha vurugu na kuvuruga utendaji wa manispaa ya Arusha? Unamwona shujaa kwa hilo?
Mimi bado naamini kuwa Lema anafanya hivi vitimbi na viroja kutokana na elimu yake ndogo. Unamkumbuka alipohojiwa na Chanel 10...
Hali ya kifedha ya Slaa kwa sasa si nzuri kuweza kununua suti.
Hii imetokana na kubanwa na TRA kurejesha pesa ya kodi aliyokuwa akikwepa kulipa kwenye posho zake.
Kwa sasa posho inakatwa kodi, familia imeongezeka, hivyo haitatosha kununua suti.
Magwanda ndo kimbilio ili kumlinda katika uvaaji.
Sina uhakika na unalosema. Ila nijuavyo mimi kuna tofauti kati ya aliyesoma na asiyesoma. Kwa mfano, kama Lema angekuwa ameenda shule, asingekuwa anafanya baadhi ya mambo ya kitoto anayofanya sasa kama ya kujipeleka gerezani ili apate mtaji wa kisiasa.
Lowassa ni:
...Mbunge
...Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama.
...Waziri Mkuu Mstaafu.
...Mjumbe wa CC na NEC CCM.
...Mtanzania mwenye kuitakia mema nchi yake.
Hivyo, anastahili kupewa coverage ya kutosha na TBC.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.