Search results

  1. Rejao

    Magufuli the Dictator of the Corrupt government officers

    Kwa hiki Kiingereza...dah!
  2. Rejao

    Suala la kuwa na imani tofauti linapotatiza taasisi ya ndoa

    Si unaona msivyo na maadili? Hebu angalia matusi unayoandika.
  3. Rejao

    Dkt. Kipilimba, sasa yatosha!

    Usichokijua ni bora tu kukaa kimya. Una uhakika gani kuwa hizi allegations zako TISS walikuwa hawazifahamu? Una uhakika gani kuwa TISS hawakushauri lolote kabla ya haya kutokea? Tanzania tuna bahati ya kuwa na taasisi imara. Hata wewe wakiamua kudeploy resources na kukufikia usiku huu...
  4. Rejao

    Jinsi ufuska unayotupatia raha ila kuleta mateso kwa familia zetu

    hahahaahahaha.... najua namna ya kukaa na system
  5. Rejao

    Jinsi ufuska unayotupatia raha ila kuleta mateso kwa familia zetu

    Asprin unanidhalilisha aisee.....ukuu wa wilaya??? Pyuu... hicho cheo nilikuwa nacho miaka hiyoo tukipambana hapa. Imagine by now nitakuwa wapi!!
  6. Rejao

    Faida za kuwa mtoto wa Kigogo!

    Ni vizuri lakin....huwa nasoma views zenu na nafurahi kuona bado mnasongesha mbele jamiiforums.
  7. Rejao

    Faida za kuwa mtoto wa Kigogo!

    Nipo salama kabisa....upo active bado huku?? Wengine tayari tumeshastaafu. Tumewaachia vijana haya majukwaa
  8. Rejao

    Faida za kuwa mtoto wa Kigogo!

    Duh!! Watu mnafukua vitu vya miaka hiyooo...anyway, sasa hivi ni mwendo wa kula mafao tu.
  9. Rejao

    Lukaku, Morata na Lacazette: Nani mkali zaidi?

    Nzi the point hapa ni kwamba tunawafananisha hawa wawili regardless ya clubs tunazozisupport. Kwangu mimi kama Arsenal fan nimefurahia usajili wa Lukaku kwenda Man Utd cuz najua nitarelax when we play against Man Utd. Kwenye career ya Lukaku hajawahi kutusumbua kabisa Arsenal na huwa siku zote...
  10. Rejao

    Lukaku, Morata na Lacazette: Nani mkali zaidi?

    Nimeangalia EPL miaka mingi na wafungaji wengi nawafahamu, Lukaku ni kati ya wafungaji ambao hawajawahi kunivutia. Hana magoli mazuri, technically hayuko vizuri kabisa. Morata sijamuona sana akicheza lakini nikiangalia hata clips zake youtube zinavitia.
  11. Rejao

    Lukaku, Morata na Lacazette: Nani mkali zaidi?

    Analysis European football journalist Mina Rzouki on BBC Radio 5 live If you offered me the choice between Morata and Lukaku, I wouldn't even think about it. I would pay £20m or £30m more if I had to and I would bring in Morata. That is because I would always prefer an intelligent player in...
  12. Rejao

    NBA 2016/2017 Season Special Thread

    Cavaliers wanaongoza
  13. Rejao

    Kwa hali ilivyo sasa, ni wazi kabisa kuwa Paul Makonda atajiuzulu au atatenguliwa!

    Nipo mkuu. Naona wakongwe bado mpo. Viva JF
  14. Rejao

    Hivi ni kwanini dakika 45 ITV hamkaribishi watu kutoka vyama vya upinzani?

    Kipindi cha leo kilikuwa na manufaa sana kwa watanzania hususani kwenye suala la fidia kwa wafanyakazi. Ni vizuri tujifunze kutopinga kila kitu. Tuangalie yale ya kujenga kwanza.
  15. Rejao

    Rais Magufuli akamilisha ziara mikoa ya Kusini, atua Dar

    Hongera sana. Kwa kweli wanastahili kuwa watoto cuz its like 6 years sijakusikia. Mimi simfahamu Bashite ni nani!!
  16. Rejao

    Rais Magufuli akamilisha ziara mikoa ya Kusini, atua Dar

    Hongera sana kwa mtoto. Nipo mzima wa kheri kabisa. Nimeongezewa majukumu kwa sasa ndio maana nakosa hata muda wa kuingia humu.
  17. Rejao

    Rais Magufuli akamilisha ziara mikoa ya Kusini, atua Dar

    Hahaahahah...... Sijamkana, mimi na yeye ndugu moja. Nimekuwa naye kisiasa na mpaka sasa nipo naye. Kuvimba macho ni kawaida.. Vp lakini, za miaka? Nilikumiss sana.
Back
Top Bottom