Usichokijua ni bora tu kukaa kimya. Una uhakika gani kuwa hizi allegations zako TISS walikuwa hawazifahamu?
Una uhakika gani kuwa TISS hawakushauri lolote kabla ya haya kutokea?
Tanzania tuna bahati ya kuwa na taasisi imara. Hata wewe wakiamua kudeploy resources na kukufikia usiku huu...
Nzi the point hapa ni kwamba tunawafananisha hawa wawili regardless ya clubs tunazozisupport. Kwangu mimi kama Arsenal fan nimefurahia usajili wa Lukaku kwenda Man Utd cuz najua nitarelax when we play against Man Utd. Kwenye career ya Lukaku hajawahi kutusumbua kabisa Arsenal na huwa siku zote...
Nimeangalia EPL miaka mingi na wafungaji wengi nawafahamu, Lukaku ni kati ya wafungaji ambao hawajawahi kunivutia. Hana magoli mazuri, technically hayuko vizuri kabisa. Morata sijamuona sana akicheza lakini nikiangalia hata clips zake youtube zinavitia.
Analysis
European football journalist Mina Rzouki on BBC Radio 5 live
If you offered me the choice between Morata and Lukaku, I wouldn't even think about it.
I would pay £20m or £30m more if I had to and I would bring in Morata.
That is because I would always prefer an intelligent player in...
Kipindi cha leo kilikuwa na manufaa sana kwa watanzania hususani kwenye suala la fidia kwa wafanyakazi. Ni vizuri tujifunze kutopinga kila kitu. Tuangalie yale ya kujenga kwanza.
Hahaahahah...... Sijamkana, mimi na yeye ndugu moja. Nimekuwa naye kisiasa na mpaka sasa nipo naye. Kuvimba macho ni kawaida..
Vp lakini, za miaka? Nilikumiss sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.