Tunakuhitaji Mh. Waziri wa ardhi William Lukuvi ili utatue kitendawili cha sisi kupewa hati miliki zetu za nyumba tulizomaliza madeni Ilogi na Bugarama. Process ya kupata title deed inachukuwa miaka mingi sana. kuna watu wamemaliza madeni toka 2010 lakini bado wanasotea hati; - sijui tatizo...
Na mauchawi nayo yapo msibeze. Nguvu za giza zipo toka zamani na zimeandikwa hata kwenye bible, najua mtanibishia....... ukiona hospitali hawaoni kitu stuka! Mpeleke akaombewe.
Nina Honda CRV nimeanza itumia siku za karibuni, nataka kubadili oil kwenye ka diff. kadogo katikati nyuma.
Oil hiyo ndo iliyokuja nayo toka Japani sasa naibadili.
1) Oil gani bora? Nipe spacefications zake.
2) Baada ya kuiweka niibadili tena baada ya km ngapi?
Nitashukuru kwa majibu yenye...
Dr. usijali na matusi ya watu wahuni wa book seven, nadhani unawajua wanatoka chama gani. BAVICHA hawezi kukutukana hivi... Tunakutakia afya njema mpaka siku utakayoamua kuzungumza nasi baba.....
Nadhani si mimi tu lakini Wana CHADEMA wengi na UKAWA kwa ujumla tupo njia panda kwenye kura za Urais, ingawa za ubunge majibu tunayo. Kwa washauri wa Mh. Lowassa akiwemo Mh. Mbowe, Prof. Lipumba na timu yote ya viongozi UKAWA tunaomba wamshauri Laigwanani arekebishe mapungufu yake kama...
Na ndio maana ya UKAWA - lengo kuu ni kuing'oa CCM mengine baadaye. halafu mbona kila siku inaelezwa kuwa hii ni coalition tu na sio muungano kabisa wa kiitikadi hamuelewi nini?
Ritz, elewa kwamba tunaposema Chama fulani cha Upinzani kimeachia jimbo fulani kinaachia kweli kweli, sio kuchaguliwa tu, hadi viti maalumu, kinakuwa hakina kinyongo. Tatizo lako nini hasa we mpinzani mtarajiwa?
Ya UKAWA waachie wenyewe!
Kosa lenyewe ni kuchagua Rais aneyetoka kwenye sapoti kubwa ya aina fulani ya mtandao wenye nguvu ya pesa, kama ule wa Friends of L.
Mgombea Mtarajiwa ashasema wazi kuwa hela huwa anatoa kwa marafiki zake.
Nawahakikishieni kuwa litakuwa kosa kubwa la kujutia kumpa nchi mtu wa aina hii kwani...
Mh. Dr. Magufuli sijui kama una habari kuwa kijipande cha barabara ya Kilwa sehemu ya Mtoni kwa Aziz Ali hadi Mtoni Mtongani kama km 3 au 4 hivi, sisi tunaoishi na wenye biashara along this road tunaumia na vumbi, tunakohoa kutokana na kutokuwekwa lami kijipande hiki kwa muda mrefu sasa, sijui...
Kwa maoni yangu kauli ya Mwadhama Kadinali Pengo kuwa Maaskofu wasiwachagulie wananchi cha kufanya katika kura za NDIYO au HAPANA kwenye Katiba pendekezwa sio sahihi sana.
Nasema hivyo kwa sababu kauli imeangalia upande mmoja tu wa hao Maaskofu walichosema na kusahau kuwa kila siku Viongozi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.